Rais Samia kuhutubia bunge Zambia

RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kulihutubia Bunge la Zambia kuhusu misingi ya uhusiano wa Tanzania na taifa hilo.
–
Kiongozi huyo ametaja miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo inayohusianisha mataifa hayo ni Reli ya Tazara, bomba la mafuta la Tazama na barabara ya Tanzam ‘The Tanzam Highway’.
–
Kupitia mtandao wake wa X, Rais Samia ameeleza katika ziara hiyo pia watajadili mwelekeo wa miradi hiyo mikubwa na muhimu, uendeshaji wake na njia za kuiongezea tija zaidi.
–
Rais Samia yuko nchini Zambia kwa ziara ya kitaifa kwa mwaliko wa Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, ambapo taifa hilo linaadhimisha miaka 59 ya uhuru.
“Leo Zambia ikiwa inatimiza miaka 59 ya uhuru nimepata fursa kutembelea mnara wa mashujaa wapigania uhuru jijini Lusaka, kuweka shada la maua na tafakari fupi kwenye kaburi la Rais wa kwanza wa nchi hii, hayati mzee Kenneth Kaunda,”ameandika Rais Samia.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I have just received my 3rd paycheck which said that $16,285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily.
.
.
Detail Here———————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I’m currently generating over $35,100 a month thanks to one small internet job, therefore I really like your work! I am aware that with a beginning capital of $28,800, you are presently making a sizeable quantity of money online.
.
.
Just open the link——->> http://Www.Smartcareer1.com