Siasa

Serikali yaongeza kasi elimu, afya na ajira

SERIKALI imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuimarisha sekta za elimu, afya na ajira kwa lengo la kukuza maendeleo ya kiuchumi na…

Soma Zaidi »

Wanasiasa wanaimani Tume ya Jaji Chande

BAADHI ya wanasiasa wameeleza imani yao kuwa majibu sahihi kuhusu chanzo cha vurugu zilizotokea Oktoba 29 mwaka jana yatapatikana kupitia…

Soma Zaidi »

Wasira awaonya walioanza mbio za Urais

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030…

Soma Zaidi »

‘Muwe mabalozi wa amani’

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira amewataka wanachama wa chama hicho kuwa mabalozi wa amani ndani…

Soma Zaidi »

Spika Zungu aitisha kikao cha dharura

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura…

Soma Zaidi »

Vangimembe Lukuvi: Jabali la Siasa Mbunge Mkongwe Aaga Dunia

TANZANIA imepoteza mmoja wa wanasiasa wake wakongwe na waliolitumikia taifa kwa muda mrefu, William Vangimembe Lukuvi, aliyefariki dunia leo, Machi…

Soma Zaidi »

Tanzania, Austria kuimarisha usalama, uhamiaji

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu…

Soma Zaidi »

Waafrika na hoja ya haki kwa viongozi wao ICC

DAR ES SALAAM, Tanzania — Mjadala kuhusu nafasi ya Afrika ndani ya mfumo wa haki wa kimataifa umeibuka upya, huku…

Soma Zaidi »

Tanzania, Italia kuimarisha uwekezaji kilimo

DAR ES SALAAM: Serikali ya Tanzania na Serikali ya Italia zimeanza hatua mpya ya kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo…

Soma Zaidi »

‘Tuongeze uzalishaji wa nguzo za zege’

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea na kukagua mradi wa kiwanda cha uzalishaji wa nguzo za…

Soma Zaidi »
Back to top button