Siasa

Kadogosa ataka nguvu zaidi ukarabati miundombinu ya barabara

MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa (CCM),  amesema sehemu kubwa ya miundombinu ya barabara imeanza kufikia muda wake wa mwisho…

Soma Zaidi »

Ujenzi yaja na vipaumbele sita bajeti 2026/27

DODOMA; Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega leo Mei 20 2026, amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi…

Soma Zaidi »

Serikali yaweka mkono walioathiriwa na wanyamapori

DODOMA; WAZIRI wa Maliasili na Utalii,  Dk Ashatu Kijaji amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kuiongezea wizara hiyo Sh bilioni…

Soma Zaidi »

Serikali kufanya mapitio sheria za uhifadhi

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali ina mpango wa kufanya mapitio ya sheria zinazohusiana na uhifadhi kwa lengo la…

Soma Zaidi »

CCM: Siasa zituunganishe zilete upendo, umoja

BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema siasa zitumike kuunganisha watu, zilete upendo na umoja na wazikatae siasa za chuki na…

Soma Zaidi »

CCM kutoa msukumo mradi wa maji Bunda

BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kinatoa msukumo kwa serikali ili kuhakikisha mradi mradi wa maji kutoka Butiama hadi…

Soma Zaidi »

‘Mradi wa barabara Tarime – Mugumu uzingatie ubora’

MARA: KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi amesisitiza mradi wa barabara…

Soma Zaidi »

Makalla akutana na Waziri wa Uchumi Urusi

ARUSHA: Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumamosi Mei 16, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na…

Soma Zaidi »

CCM yasisitiza hakuna mkubwa kuliko chama

MARA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kuvuja makundi, kwani chama hicho hakihitaji makundi bali umoja, upendo na mahikamano…

Soma Zaidi »

Kihongosi: Siasa isiingie kwenye maendeleo

MARA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi kutokuruhusu siasa…

Soma Zaidi »
Back to top button