Siasa

Ruto awasili Dar es Salaam

DAR ES SALAAM: Rais wa Kenya, William Ruto amewasili Tanzania leo Mei 4, 2026 kwa ziara ya kitaifa ya siku…

Soma Zaidi »

Emanuela Mtatifikolo: “Narudi Nyumbani” kuitumikia Isimani

IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuela Kaganda Mtatifikolo, ameanza rasmi safari yake ya…

Soma Zaidi »

Serikali yafunga kambi ya Nduta, yahimiza amani

KIGOMA; SERIKALI ya Tanzani imeifunga rasmi kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani Kigoma, iliyokuwa ikihifadhi wakimbizi wa…

Soma Zaidi »

Dk Mecktridis ahamasisha kilimo cha kisasa

DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Malinyi, Dk. Mecktridis Mdaku, ameiomba Serikali kuchukua hatua za makusudi za kuboresha Sekta ya kilimo…

Soma Zaidi »

Tanzania, Belarus kushirikiana kibiashara

DAR ES SALAAM: Serikali ya Tanzania na Belarus zimesaini mkataba wa kuanzisha mkakati maalum utakaoratibu ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara…

Soma Zaidi »

Ushirikiano mpya wafungua fursa za masoko

DAR ES SALAAM:SHIRIKISHO la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limesaini rasmi Hati ya Makubaliano (MoU) na Kituo cha Taifa cha Kukuza…

Soma Zaidi »

Serikali yatenga Sh bilioni 200 kwa wananchi

DODOMA: Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 200 kwa ajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za kiuchumi nchini kote, ikiwemo sekta…

Soma Zaidi »

Wiki ya ACT Wazalendo kutamatika Kilwa Mei 5

DAR ES SALAAM: CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kitaadhimisha wiki ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho kuanzia Aprili 29,…

Soma Zaidi »

Nyalandu: Hatua zinazochukuliwa na Samia zitaiponya nchi

DAR ES SALAAM: SIKU chache baada ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada…

Soma Zaidi »

Bajeti Wizara ya Nishati yapita kwa kishindo

DODOMA: Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha shilingi trilioni 2.53 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati…

Soma Zaidi »
Back to top button