Siasa

Leo ni bajeti ya viwanda na biashara

Dodoma: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga leo Mei 22, 2026 anatarajiwa kuwasilisha bungeni hotuba ya Bajeti ya Wizara…

Soma Zaidi »

Mbunge Malinyi akumbushia miundombinu ya barabara

DODOMA:MBUNGE wa Jimbo la Malinyi Dk Mecktridis Mdaku ameiomba Wizara ya Ujenzi kuendelea kuzingatia changamoto za kijiografia na mazingira katika…

Soma Zaidi »

Kadogosa ataka nguvu zaidi ukarabati miundombinu ya barabara

MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa (CCM),  amesema sehemu kubwa ya miundombinu ya barabara imeanza kufikia muda wake wa mwisho…

Soma Zaidi »

Ujenzi yaja na vipaumbele sita bajeti 2026/27

DODOMA; Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega leo Mei 20 2026, amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi…

Soma Zaidi »

Serikali yaweka mkono walioathiriwa na wanyamapori

DODOMA; WAZIRI wa Maliasili na Utalii,  Dk Ashatu Kijaji amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kuiongezea wizara hiyo Sh bilioni…

Soma Zaidi »

Serikali kufanya mapitio sheria za uhifadhi

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali ina mpango wa kufanya mapitio ya sheria zinazohusiana na uhifadhi kwa lengo la…

Soma Zaidi »

CCM: Siasa zituunganishe zilete upendo, umoja

BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema siasa zitumike kuunganisha watu, zilete upendo na umoja na wazikatae siasa za chuki na…

Soma Zaidi »

CCM kutoa msukumo mradi wa maji Bunda

BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kinatoa msukumo kwa serikali ili kuhakikisha mradi mradi wa maji kutoka Butiama hadi…

Soma Zaidi »

‘Mradi wa barabara Tarime – Mugumu uzingatie ubora’

MARA: KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi amesisitiza mradi wa barabara…

Soma Zaidi »

Makalla akutana na Waziri wa Uchumi Urusi

ARUSHA: Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumamosi Mei 16, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na…

Soma Zaidi »
Back to top button