Siasa

Waliotemwa na Samia kuwania majimbo haya

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na kuhamisha viongozi mbalimbali, wakiwemo wakuu wa mikoa watano na wakuu wa wilaya 17.…

Soma Zaidi »

Vijana 57 watia nia udiwani, ubunge Chato

VIJANA wapatao 57 kutoka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Chato mkoani Geita wameonesha nia ya kuchukua…

Soma Zaidi »

Nitamtetea Rais – Abbas Tarimba

DAR ES SALAAM: MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba, amesema atasimamia ukweli kwa kueleza na kutetea mazuri yaliyofanywa na…

Soma Zaidi »

Wabunge kupiga kura kupitisha bajeti ya serikali leo

WABUNGE leo wanatarajiwa kupiga kura kupitisha bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026 inayotajwa ni ya mageuzi ya kiuchumi.…

Soma Zaidi »

Tanzania inaongoza kwa simba, nyati, chui Afrika

SERIKALI imesema Tanzania inaongoza kwa idadi ya simba, chui na nyati Afrika. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dustan Kitandula…

Soma Zaidi »

Spika: Bunge likivunjwa serikali inaendelea na kazi

SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema bunge likivunjwa haina maana serikali itakuwa likizo bali itaendelea na kazi yake. Alitoa…

Soma Zaidi »

Samia aagiza Watanzania walio Iran, Israel kurudi nchini

RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza Watanzania wanaoishi Iran na Israel warudishwe nchini. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…

Soma Zaidi »

Wadau: Marekebisho sheria za uchaguzi yaonesha uongozi bora

WADAU wa masuala ya siasa wamesema marekebisho ya sheria za uchaguzi yameondoa kero, kurejesha matumaini kwa wapigakura na kuonesha uongozi…

Soma Zaidi »

Mtikisiko majimboni

IKIWA imebaki miezi minne kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu hekaheka na sarakasi za watia nia zimeshika kasi…

Soma Zaidi »

Kikwete ataka tofauti za kisiasa zisiyumbishe taifa

RAIS mstaafu, Jakaya Kikwete ametaja mambo sita ya kufanya kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa amani ikiwemo vyama vya siasa kutambua kwamba…

Soma Zaidi »
Back to top button