Siasa

Idadi watumishi zahanati, kituo cha afya waainishwa

DODOMA; SERIKALI imesema idadi ya watumishi wa kada ya afya wanaotakiwa katika ngazi ya zahanati ni kati ya 15-20, wakati…

Soma Zaidi »

Dk Mpango akutana na Katibu Mkuu UN

Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) Antonio Guterres yaliyofanyika…

Soma Zaidi »

Serikali yatoa maelekezo Skimu ya Lyamaigwa

DODOMA; SERIKALI imetoa maelekezo kuhusu ucheleweshaji wa ujenzi wa Skimu ya Lyamaigwa iliyopo jimbo la Bukene, mkoani Tabora. Maelekezo hayo…

Soma Zaidi »

Makandarasi wazawa hupewa tuzo wakifanya vizuri

DODOMA; SERIKALI imesema makandarasi wazawa wanaofanya vizuri hupatiwa tuzo mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya…

Soma Zaidi »

ACT Wazalendo yaongeza muda uchukuaji fomu Bara

DAR ES SALAAM: CHAMA cha ACT Wazalendo kimesogeza mbele hadi Juni 30, 2025 zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu za…

Soma Zaidi »

Makalla: Ilani mpya ya CCM yabeba matumaini ya Watanzania

KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amesema Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha…

Soma Zaidi »

‘Sido inatoa mafunzo ya vifungashio wajasiriamali’

DODOMA; SHIRIKA la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO), linatekeleza mkakati wa mafunzo ya ufungashaji wa bidhaa kwa wajasiriamali. Bunge limeelezwa.…

Soma Zaidi »

‘Upo utaratibu kutambua walio sekta isiyo rasmi’

DODOMA; MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA), ina utaratibu wa kutambua walipa kodi kulingana na mitaa. Bunge limeelezwa. Naibu Waziri wa…

Soma Zaidi »

‘Changamoto 22 Muungano zimepatiwa ufumbuzi’

DODOMA; SERIKALI imesema jumla ya changamoto 22 za Muungano zimepatiwa ufumbuzi. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo na Naibu Waziri Ofisi…

Soma Zaidi »

Ilani CCM 2025-2030 imebeba matumaini – Makalla

MONDULI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2025/2030 waliyoizundua imebeba matumaini kwa watanzanania kwani imebeba mambo…

Soma Zaidi »
Back to top button