Siasa

Wizara ya Afya yaja na vipaumbele 10

WIZARA ya Afya imeainisha Vipaumbele kumi (10) vitakavyotekelezwa kwa mwaka 2025/26 , Bunge limeelezwa. Akiwasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji wananchi kulipia Daraja la Nyerere

DODOMA; MBUNGE wa Muleba Kusini, Oscar Ishengoma amehoji bungeni sababu za watumiaji wa Daraja la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kulipia…

Soma Zaidi »

Wakili ajitosa ubunge Kalambo

RUKWA: WAKILI Fortunatus Sichone ,45, ametangaza nia yake ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kalambo lililopo mkoani Rukwa kupitia Chama…

Soma Zaidi »

Wakili Madeleka autaka ubunge Kivule

DAR ES SALAAM: MWANACHAMA wa ACT Wazalendo, Wakili Peter Madeleka,  amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake kugombea ubunge…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu akutana na Mwenyekiti AUPF

WAZIRI Mkuu, Kasim Majaliwa amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wa Japan cha Urafiki na Afrika (Africa Union…

Soma Zaidi »

Samia: Ni ilani ya ushindi, inatekelezeka

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 imeshiba, ni ya ushindi,…

Soma Zaidi »

Kazi na dawa mkutano CCM

  DODOMA; Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akifurahia burudani ya muziki…

Soma Zaidi »

SMZ yajivunia kuacha alama utekelezaji wa ilani

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imeweka alama kwa Wazanzibari katika utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama Cha…

Soma Zaidi »

Utekelezaji ilani CCM wapaisha uchumi, wakuza pato la taifa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema utekelezaji wa Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2020-2025 umeimarisha uchumi na kuongeza ukuaji wa…

Soma Zaidi »

Dodoma kumenoga

DODOMA; Baadhi ya wajumbe na waalikwa mbalimbali wakifuatilia Mkutano Mkuu wa CCM jijini Dodoma.

Soma Zaidi »
Back to top button