Dini

Amani, utulivu, upendo viwe msingi wa Sikukuu ya Pasaka

DAR ES SALAAM; WAKRISTO nchini leo wanaungana na wenzao kote duniani kusherehekea Sikukuu ya Pasaka kukumbuka ufufuo wa Yesu Kristo…

Soma Zaidi »

Wakristo wahimizwa kusimamia haki, ukweli

DAR ES SALAAM – VIONGOZI wa dini ya Kikristo katika Ibada ya Ijumaa Kuu wamewataka waumini kutafakari maisha yao kwa…

Soma Zaidi »

Eid El-Fitri: Sikukuu ya shukrani na mshikamano kwa waislamu

EID EL -FITRI ni mojawapo ya sikukuu muhimu kwa Waislamu kote duniani. Huadhimishwa kila mwaka baada ya kukamilika kwa mwezi…

Soma Zaidi »

Ahmadiyya waipongeza serikali kudumisha amani

MOROGORO: JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imeisifu Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kusimamia amani, kuleta utulivu,  kujali…

Soma Zaidi »

Askofu Bendera ahimiza amani uchaguzi mkuu 2025

ASKOFU wa Kanisa la Ufunuo Tanzania ambaye anasimamia Mkoa wa Shinyanga Samawi Bendera amewataka watanzania kuishi kwa amani katika kipindi…

Soma Zaidi »

Mufti: Tuepuke fitna, uzushi Uchaguzi Mkuu

SHEHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Abbubakar Zubery amehimiza wananchi wajiepushe na uzushi kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu. Amewataka kutumia…

Soma Zaidi »

Wamuombea dua Rais samia kwa kuboresha miradi Dar

DAR ES SALAAM: VIONGOZI wa Baraza la Madiwani, viongozi wa kiislamu na watoto yatima wamekutana kumuombea dua Rais Samia Suluhu…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi: Tanzania imeheshimika mashindano ya Kurani

DAR ES SALAAM; RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Tanzania imepata manufaa na heshima kwa kuandaa mashindano ya 25…

Soma Zaidi »

Mambo yaiva tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu

DAR ES SALAAM; Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kuombea Uchaguzi mkuu 2025, Alex Msama amesema maandalizi kuhusu…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu azindua msikiti wa Nuuril Hikma

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 14 amezindua msikiti wa Masjid Jaami’u Nuuril Hikma uliopo mtaa wa Yombo, Temeke jijini…

Soma Zaidi »
Back to top button