Dini

Viongozi wa dini watakiwa kuepuka uchochezi uchaguzi mkuu

DAR ES SALAAM: VIONGOZI wa dini nchini wametakiwa kuepuka kauli za uchochezi katika kipindi kuelekea uchaguzi mkuu, pamoja na kutokuingilia…

Soma Zaidi »

PAPA FRANCIS; Taa ya unyenyekevu, amani ‘iliyozimika’

PAPA Francis ni Papa pekee (Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani), aliyeshiriki kumchagua papa (mtangulizi wake) Papa Benedicto XVI mwaka…

Soma Zaidi »

Papa Francis kuzikwa jumamosi

VATICAN : MAZISHI ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis yamepangwa kufanyika siku ya Jumamosi katika Kanisa Kuu la…

Soma Zaidi »

TEC yatangaza maombolezo, misa siku 9 mfululizo

BAADA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis kufariki duniani Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetangaza siku tisa…

Soma Zaidi »

Dunia yamlilia Papa Francis

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa waumini wa Kanisa Katoliki nchini na duniani kote kutokana na kifo…

Soma Zaidi »

Trump aamuru bendera kupepea nusu mlingoti

MAREKANI : RAIS wa Marekani, Donald Trump ameamuru bendera zote zipandishwe nusu mlingoti kama sehemu ya maombolezo ya Baba Mtakatifu…

Soma Zaidi »

Brazil yatangaza siku saba za maombolezo

BRAZIL : RAIS wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva ametangaza maobolezo ya siku saba kufuatia kifo cha Baba Mtakatifu…

Soma Zaidi »

Rose Muhando afunika Mtoko wa Pasaka

DAR ES SALAAM; MWIMBAJI wa muziki wa Injili Rose Muhando alikonga nyoyo za mashabiki kwenye Tamasha la mtoko wa Pasaka…

Soma Zaidi »

Papa Francis ameacha historia

VATICAN : MWAKA 2013, historia ilifanyika pale Papa Francis alipotangazwa kama kiongozi wa Kanisa Katoliki, akiwa Papa wa kwanza kutoka…

Soma Zaidi »

Papa Francis afariki Dunia akiwa na miaka 88

VATICAN – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo asubuhi akiwa na umri wa miaka 88. Taarifa…

Soma Zaidi »
Back to top button