Dodoma

Zaidi ya mil 400 kusambaza mitungi ya gesi Dodoma

CHAMWINO, Dodoma: MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa cha sh 406,712,250 kwa Wakala…

Soma Zaidi »

Majaliwa akagua mkakati matumizi nishati safi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara jijini Dodoma ya kukagua utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia…

Soma Zaidi »

Serikali kuimarisha umeme kwenye vitongoji

NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali inatarajia kuanzisha mradi mpya wa upelekaji umeme katika vitongoji utakaohusisha ujenzi wa…

Soma Zaidi »

Mbunge ashauri kuongezwa kampuni ya mwendokasi

SERIKALI imeshauriwa kuangalia uwezekano wa kuongeza kampuni nyingine ya mabasi yaendayo haraka ili kupunguza changamoto ya upatikanaji wa huduma hiyo…

Soma Zaidi »

Mweli: Matumizi ya mbolea yafikia tani laki nane nchini

DODOMA: MAMLAKA ya udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeongeza tija ya matumizi ya mbolea kwa wakulima nchini hadi kufikia tani…

Soma Zaidi »

Ruzuku ya mbolea kuigharimu serikali Sh bilioni 300

DODOMA: SERIKALI imetenga sh bilioni 300 kwa mwaka wa fedha 2024/25 ili kugharamia ruzuku ya mbolea kwa wakulima. Hayo yamebainishwa…

Soma Zaidi »

Rais Samia aongoza kikao Baraza la Mawaziri

Soma Zaidi »

HESLB yazungumzia Samia Scholarship

DODOMA: BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imewataka wanafunzi na wazazi kupuuzia taarifa inayosambaa katika mitandao…

Soma Zaidi »

Wakili anayehudhuria mkutano TLS afariki ghafla

DODOMA; WAKILI Maria Pengo(36) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo kwa shambulio la moyo(heart attack). Maria alikuwa miongoni mwa…

Soma Zaidi »

Kituo cha kurejeleza taka kujengwa Dodoma

SERIKALI kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imejipanga kujenga kituo cha kurejeleza taka za plastiki pamoja na kuhifadhi na…

Soma Zaidi »
Back to top button