Fursa

‘Wanawake changamkieni fursa kwenye ubaharia’

TAKWIMU zinaonesha idadi ya mabaharia Tanzania ni takribani 9,000,  huku wanawake wakiwa ni chini ya asilimia moja. Takwimu hizo zimetolewa…

Soma Zaidi »

Tanga kunufaika na fainali ASFC

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba amesema mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) unaochezwa leo…

Soma Zaidi »

Kuitwa kwenye Usaili – Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN)

Soma Zaidi »

TPSF yasisitiza matumizi ya teknolojia, ubunifu kumkomboa mwanamke

WAKATI dunia ikiadhimisha Siku ya Wanawake, Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imesisitiza kuwa teknolojia kuwa ni nyezo muhimu katika…

Soma Zaidi »

Shujaa Majaliwa ‘kuoga’ fedha za wabunge

Mbunge Hamis Kigwangala ameomba mwongozo bungeni akitaka wabunge wakatwe kiasi cha Sh 50,000 kutoka kwenye posho zao za leo kwa…

Soma Zaidi »

HABARI KUU: Oktoba 19, 2022

Mkusanyiko wa habari kuu zilizojiri leo Oktoba 19, 2022 Habari Kuu zilizotufikia katika chumba cha HabariLeo

Soma Zaidi »

Ndaruke aibuka kidedea CCM Kibiti

Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Kibiti mkoani Pwani kimepata viongozi wapya baada ya kufanyika uchaguzi wa ndani wa chama hicho…

Soma Zaidi »

DC Mtwara, Meneja TSN wateta fursa za maendeleo

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Dustan Kyobya leo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Meneja Huduma za Habari za Lugha…

Soma Zaidi »

Dk Chana ataka ubunifu TFS

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk Pindi Chana amewaasa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuongeza ubunifu na…

Soma Zaidi »
Back to top button