Chande ataka ushirikiano uhifadhi misitu

KATAVI: Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande amewataka w
Watanzania kushirikiana na taasisi za uhifadhi nchini katika uhifadhi wa misitu kuongeza chachu ya maendeleo endelevu kupitia misitu iliyopo hapa nchini.
Kauli hiyo inakuja wakati Tanzania ikijiandaa kuadhimisha Siku ya Misitu Duniani.

Chande amebainisha hayo Mkoani Katavi katika mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba katika maeneo tofauti.

”Endeleeni kushirikiana na taasisi zetu za uhifadhi, Ili kusudi tubaki na maendeleo endelevu hasahasa katika maswala ya kilimo, kwa sababu bila ya misitu hakuna chakula, bila mvua hakuna chakula kwa hiyo ni muhimu sana kuhifadhi misitu yetu kwa kushirikiana,”amesisitiza Chande.

Akizungumza juu ya uhifadhi misitu ya jamii na manufaa yake, Chande ameahidi kuwa wizara itaendelea kushirikiana kwa karibu na jamii na viongozi kubainisha mipaka ya maeneo ya hifadhi za misitu na misitu ya jamii ili kuishi kwa mapenzi na utu kati ya wizara, taasisi na wananchi.





I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
Follow Here …………… http://www.giftpay7.vip
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com
I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com