Lundenga afariki dunia, Miss Tanzania wamlilia

MRATIBU wa zamani wa mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga amefariki dunia leo Jumamosi April 19, 2025, huku waandaaji wa shindano hilo wakisema kifo chake ni pigo kwa fani ya urembo nchini.
Msemaji wa Miss Tanzania, Hiddan Rico amesema Lundenga atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa kwenye tasnia ya urembo nchini.
“Taratibu za mazishi zinaendelea, lakini kwa taarifa nilizopokea huenda akazikwa kesho, ila muda si mrefu tutatoa taarifa kamili kuhusu mazishi yake, ”amesema na kuongeza kuwa msiba upo nyumbani kwa marehemu Bunju, Dar es Salaam.
buy viagra online
payday loan
Single Mom Reveals How She Earns $89k/Yr Working 10 Hrs/Week From Home. Tired of paycheck-to-paycheck living? Meet Kelly from New York—a regular mom who cracked the code to recession-proof income without selling a thing! Now, YOU can too with the Home Profit System:
ACT NOW➢ https://Www.earnapp1.com