Mkazi wa Kwimba asifu jengo jipya la watoto njiti

MWANZA; MKAZI wa Mtaa wa National uliopo Ngudu, wilayani Kwimba mkoani Mwanza, Joyce Emmanuel, amesema kukamilika kwa jengo la watoto njiti kwenye hospitali ya kwimba ni ukombozi kwa wananchi wa wilaya hiyo.
Akizungumza nyumbani kwake wakati wa ziara ya viongozi mbalimbali, Joyce amesema alijifungua mapacha akiwa na ujauzito wa miezi sita, kila mmoja akiwa na uzito wa kilo 1.3.

Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa vifaa vya kuhudumia watoto njiti katika zahanati ya eneo lao, walilazimika kusafiri umbali mrefu kwenda Hospitali ya Bugando Mwanza, hali iliyosababisha mtoto mmoja kupoteza maisha njiani.
Amesema hayo alipotembelewa na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Tanzania, Dk Alex Gasasira, aliyeambatana na viongozi wa taasisi ya Doris Mollel Foundation (DMF), Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Ng’wilabuzu Ludigija, pamoja na viongozi wengine.




Google paid $200 a hour on the internet..my close relative has been without labor for nine months and the earlier month her compensation check was $51005 by working at home for 10 hours a day….. Everybody must try this job now by just use this
GOOD LUCK.:) http://www.giftpay7.vip