Mradi maalumu kukabili udumavu wazinduliwa mikoa mitatu

GEITA: SERIKALI imezindua Mradi wa Kuimarisha Huduma za Lishe katika mikoa ya Geita, Iringa na Tabora ili kusaidia kupunguza changamoto za udumavu, ukondefu na utapiamulo wa watoto.

Mradi huo unatekelezwa chini ya ufadhili wa taasisi ya BWP ya nchini Uingereza kwa thamani ya dola za kimarekani milioni 2 malengo makuu yakiwa ni kuimarisha lishe na maendeleo ya watoto.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe aliongoza hafla ya uzinduzi wa mradi huo iliyofanyika katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Geita zilizopo mjini Geita.

Akizungumza baada ya uzinduzi huo Profesa Shemdoe ameagiza viongozi wa serikali hususani maofisa maendeleo na lishe wa halmashauri kuongeza nguvu katika mpango wa kukabiliana na tatizo la udumavu.

Profesa Shemdoe ameagiza halmashauri zote kwenye mikoa husika kuendelea kutenga kiasi cha sh 1,000 kwenye bajeti zao kwa kila mtoto wa chini ya miaka mitano ili kujenga jamii iliyo bora.

Aidha ameitaka mikoa ya Geita, Iringa na Tabora kuimarisha ufuatiliaji wa mradi jumuishi wa lishe na shughuli zote zinazotekelezwa katika jamii kwa ajili ya kukabiliana na matatizo ya lishe

Ameelekeza kuwa wakati wa mradi huo, halmashauri zihakikishe zinatoa takwimu sahihi na kwa wakati ili kuzingatia utoaji huduma sahihi kwa kuzingatia ushahidi unaotokana na takwimu.

Profesa Shemdoe amewataka viongozi kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa huduma bora za malezi ya watoto wachanga wakati wa mchana (Day Care) kuwezesha maendeleo bora ya watoto.

Amesisitiza kuwa mikoa hiyo inapaswa kuimarisha huduma za ufuatiliaji na ukuaji wa maendeleo ya watoto, ili kubaini watoto wenye hali duni ya lishe na kuwaunganisha kwenye huduma stahiki.

“Watoto wetu ndio mtaji wetu, tuwatunze vyema ili wapate lishe bora Geita bila utapiamulo inawezekana, Tabora bila utapiamulo inawezekana Iringa bila utapiamulo inawezekana”.

Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Luitfrid Nnally ameainisha kiwango cha udumavua mkoani Geita ni asilimia 38, Tabora asilimia 33 na Iringa asilimia 57.

Naibu Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Profesa Tumaini Nagu amesema mradi umezingatia tathimini iliyofanywa na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) iliyobainisha changamoto hiyo ya lishe.

Mwakilishi wa taasisi ya BWP, Dr Taye Balcha amesisitiza kuwa mradi huo umezingatia tathimini ya serikali na hivo na kutambua kuwa wahanga wakubwa wa udumavu ni watoto.

Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine Shigella ameahidi kuwa mkoa wa Geita kwa kushirikiana na mikoa inayonufaika na mradi huo watatumia fursa hiyo kupunguza kiwango cha lishe kilichopo.

Habari Zifananazo

7 Comments

  1. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do…..  https://www.payathome9.place

    1. I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
      .
      HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com

    2. I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…

      .
      M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

  2. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do…..  https://www.payathome9.place

  3. **TANGAZO LA AJIRA**

    **NAFASI: MHARIRI WA KITABU**

    Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi ya kazi ya **Mhariri wa Kitabu** chenye kichwa cha habari:

    *“Utajiri Hupambaniwa Lakini Umasikini Hupewa Bure hapa Duniani – Utawezaje Kuondoa Umasikini wa Watu Milioni 60 kwa Saa 1 labda Millenium 1”*

    ### Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kuboresha maandishi ya kitabu kitaalamu (sarufi, mtiririko, mpangilio wa sura na mantiki ya hoja).
    * Kufanya uhakiki wa kina wa tahajia, alama za uandishi na matumizi sahihi ya lugha.
    * Kushauri maboresho ya maudhui bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
    * Kufanya kazi kwa karibu na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi kukamilika kwa muswada.

    ### Sifa za Mwombaji:

    * Awe na elimu ya juu katika Fasihi ya Kiswahili, Lugha, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
    * Awe na uzoefu wa kuhariri vitabu, makala au machapisho ya kitaaluma.
    * Uwezo mkubwa wa lugha ya Kiswahili; ujuzi wa Kiingereza utakuwa nyongeza.
    * Awe makini, mbunifu, mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.
    * Uzoefu wa uhariri wa vitabu vya maendeleo binafsi au uchumi utapewa kipaumbele.

    ### Namna ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Mfano wa kazi alizowahi kuhariri (ikiwezekana)

    Maombi yawasilishwe ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni.

    Mwisho wa kupokea maombi ni ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.

    **Imetolewa na:**
    Kampuni ya WAJA
    Buza, Dar es Salaam

    *Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa.*

  4. **TANGAZO LA AJIRA**

    **NAFASI: MHARIRI WA KITABU**

    Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi ya kazi ya **Mhariri wa Kitabu** chenye kichwa cha habari:

    *“Utajiri Hupambaniwa Lakini Umasikini Hupewa Bure hapa Duniani – Utawezaje Kuondoa Umasikini wa Watu Milioni 60 kwa Saa 1 labda Millenium 1”*

    ### Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kuboresha maandishi ya kitabu kitaalamu (sarufi, mtiririko, mpangilio wa sura na mantiki ya hoja).
    * Kufanya uhakiki wa kina wa tahajia, alama za uandishi na matumizi sahihi ya lugha.
    * Kushauri maboresho ya maudhui bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
    * Kufanya kazi kwa karibu na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi kukamilika kwa muswada.

    ### Sifa za Mwombaji:

    * Awe na elimu ya juu katika Fasihi ya Kiswahili, Lugha, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
    * Awe na uzoefu wa kuhariri vitabu, makala au machapisho ya kitaaluma.
    * Uwezo mkubwa wa lugha ya Kiswahili; ujuzi wa Kiingereza utakuwa nyongeza.
    * Awe makini, mbunifu, mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.
    * Uzoefu wa uhariri wa vitabu vya maendeleo binafsi au uchumi utapewa kipaumbele.

    ### Namna ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Mfano wa kazi alizowahi kuhariri (ikiwezekana)

    Maombi yawasilishwe ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni.

    Mwisho wa kupokea maombi ni ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.

    **Imetolewa na:**
    Kampuni ya WAJA
    Buza, Dar es Salaam

    *Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa.*.

  5. **TANGAZO LA AJIRA**

    **NAFASI: MHARIRI WA KITABU**

    Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi ya kazi ya **Mhariri wa Kitabu** chenye kichwa cha habari:

    *“Utajiri Hupambaniwa Lakini Umasikini Hupewa Bure hapa Duniani – Utawezaje Kuondoa Umasikini wa Watu Milioni 60 kwa Saa 1 labda Millenium 1”*

    ### Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kuboresha maandishi ya kitabu kitaalamu (sarufi, mtiririko, mpangilio wa sura na mantiki ya hoja).
    * Kufanya uhakiki wa kina wa tahajia, alama za uandishi na matumizi sahihi ya lugha.
    * Kushauri maboresho ya maudhui bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
    * Kufanya kazi kwa karibu na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi kukamilika kwa muswada.

    ### Sifa za Mwombaji:

    * Awe na elimu ya juu katika Fasihi ya Kiswahili, Lugha, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
    * Awe na uzoefu wa kuhariri vitabu, makala au machapisho ya kitaaluma.
    * Uwezo mkubwa wa lugha ya Kiswahili; ujuzi wa Kiingereza utakuwa nyongeza.
    * Awe makini, mbunifu, mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.
    * Uzoefu wa uhariri wa vitabu vya maendeleo binafsi au uchumi utapewa kipaumbele.

    ### Namna ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Mfano wa kazi alizowahi kuhariri (ikiwezekana)

    Maombi yawasilishwe ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni.

    Mwisho wa kupokea maombi ni ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.

    **Imetolewa na:**
    Kampuni ya WAJA
    Buza, Dar es Salaam.

    *Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa.*

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button