Saudia, Caf wakubaliana miaka mitano kibiashara

Saudi Arabia imeingia kwenye ushirikiano wa kihistoria wa miaka mitano na soka la Afrika ukihusisha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na Shirikisho la Soka la Saudi Arabia (SAFF)
“Mkataba uliosainiwa utazingatia mipango na maendeleo ya kiufundi na soka katika klabu na Mataifa, soka la wanawake, kusaka vipaji, mashindano, michezo ya kirafiki na fursa za kibiashara.” imeeleza taarifa ya CAF
Makubaliano mengine ya CAF ni juu ya kampeni ya Visit Saudi, mkataba unaosimamia kutangaza utalii nchini Saudi Arabia ambao ni wafadhili wakuu wa African Football League (AFL) itakayoanza Oktoba 20 hadi Novemba 11, 2023 ikihusisha vilabu nane bora barani Afrika.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. ( d04q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job. All you need to know is how to copy and paste items online.
Click and Copy Here════►► http://Www.SmartCareer1.com