Wakazi Dar wasisubiri mwishoni kujiandikisha daftari la wapigakura

Sehemu ya Jiji la Dar es Salaam.

WAKAZI wa Dar es Salaam wameanza kujiandikisha na wengine kuboresha taarifa zao katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Mchakato huo ulianza Jumatatu huku Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikihimiza wananchi waendelee kujitokeza.

Tunaipongeza serikali kupitia INEC kwa uratibu na usimamizi thabiti wa mchakato huu ambao umeshakamilika katika mikoa 29 na sasa ipo kwenye mzunguko wa mwisho Dar es Salaam pekee.

Advertisement

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa INEC, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jacobs Mwambegele, sasa wapo katika mzunguko wa 13.

Mchakato huu, ulioanza Dar es Salaam Jumatatu, ukitarajiwa kukamilika Machi 23, 2025 ni sehemu muhimu ya demokrasia nchini ukitoa fursa muhimu kwa kila Mtanzania kuhakikisha kuwa anajiweka sawa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Uandikishaji au uboreshaji wa daftari hili ni jukumu muhimu kwa kila mwananchi anayekidhi vigezo kushiriki.

Hivyo, hatuna budi kuungana na INEC kuhimiza wakazi wa Dar es Salaam kutumia siku hizo zilizopangwa kukamilisha kazi hiyo.

Hata hivyo, kumekuwapo na utamaduni uliojengeka katika jamii, ambapo baadhi ya watu hujisahau kushiriki masuala kama haya siku za mwanzoni badala yake husubiri hadi siku za mwishoni.

Huu ni utamaduni mbaya ambao jamii haina budi kuondokana nao hususani kipindi hiki cha uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Kwa wananchi wasio na sababu muhimu za kusubiri, wawahi wakajiandikishe ili kuepusha misururu isiyo ya lazima katika siku za mwishoni. Hali hiyo mara nyingi husababisha malalamiko mengi kuhusu huduma.

Tunapenda kuwahimiza wakazi wote wa Dar es Salaam kujitokeza mapema ili kushiriki katika mchakato huu wenye manufaa makubwa kwa taifa na watu wake.

Kuboresha au kujiandikisha katika daftari hilo la mpigakura ni haki ya kila Mtanzania anayekidhi vigezo ajitokeze
katika vituo vilivyopangwa aipate.

Izingatiwe kwamba serikali imetenga rasilimali nyingi kwa ajili ya mchakato huu. Kwa hiyo, ni wajibu wa kila mwananchi kuunga mkono mchakato huu wa kidemokrasia.

Rai yetu kwa wakazi wa Dar es Salaam ni kwamba wahimizane kujiandikisha mapema ili kuepuka msongamano
baadaye. Hii ni fursa adhimu.

Mchakato huu uchukuliwe kwa uzito ili matarajio ya INEC yatimie; ya kuandikisha wapigakura wapya 643,420 mkoani Dar es Salaam ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 18.7 ya 3,427,917 waliopo kwenye daftari la kudumu la wapigakura.

20 comments
  1. Heya i am for the first time here. I came across this board and I to find
    It really helpful & it helped me out much. I’m hoping to offer
    one thing back and help others like you aided me.

  2. Hello there! Do you know if they make any plugins to help with SEO?
    I’m trying to get my blog to rank for some targeted keywords but I’m not seeing very good gains.
    If you know of any please share. Many thanks!

  3. When I originally commented I clicked the “Notify me when new comments are added” checkbox and now each time a comment is added
    I get three emails with the same comment. Is there any way you can remove people
    from that service? Thank you!

    my page :: binary options

  4. Thank you for any other wonderful article. The place else could anybody
    get that type of information in such a perfect manner of writing?
    I’ve a presentation next week, and I am at the search for such information.

  5. Thanks a lot for sharing this with all people you really recognize what you’re speaking approximately!
    Bookmarked. Please additionally consult with my website =).
    We may have a link exchange contract among us

  6. May I just say what a comfort to find a person that really understands what they’re discussing on the net.
    You definitely realize how to bring an issue to light and make
    it important.More people must check this out and understand
    this side of the story. I can’t believe you’re not more popular given that you certainly have the gift.

  7. Hi, i thuink that i saw you visited my website so i
    came to “return the favor”.I’m trying to find things to
    enhance my website!I suppose its ok to use some of your ideas!!

  8. I think this is one of the most vital info for me. And i’m glad reading your article.
    But should remark on some general things, The site style is perfect, the
    articles is really great : D. Good job, cheers

  9. hello there and thank you for your information – I’ve certainly picked up anything
    new from right here. I did however expertise several technical points using this website, since
    I experienced to reload the website many times previous to I could get it
    to load correctly. I had been wondering if your hosting is OK?

    Not that I am complaining, but sluggish loading instances times will often affect your
    placement in google and could damage your high quality
    score if ads and marketing with Adwords. Well I’m adding this RSS to my email and can look out
    for a lot more of your respective exciting content.
    Ensure that you update this again very soon.

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *