Yanga kuvaana na TP Mazembe CAF

YANGA SC imepangwa kundi A katika hatua ya makundi kwenye michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika ambapo itakwenda kuchuana na; Al Hilal (Sudan) MC Alger (Algeria) TP Mazembe (DR Congo).

Al Hilal (Sudan)

MC Alger (Algeria)

TP Mazembe (DR Congo)

Habari Zifananazo

Back to top button