Yanga yatinga makundi Afrika

DAR ES SALAAM; Yanga ya Dar es Salaam imetinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Silver Strikers ya Malawi, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam leo Jumamosi Oktoba 25, 2025.

Kutokana na matokeo hayo Yanga imefuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 2-1. Mchezo wa kwanza nchini Malawi wenyeji walishinda bao 1-0.




What’s up friends, its fantastic piece of writing
on the topic of cultureand entirely defined, keep it up all
the time.
Check out my web page :: Buy Rivotril