Year: 2023

Afya

Biteko azindua Zahanati ya Bungoni

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko Desemba 29, 2023 amezindua Zahanati ya Bungoni…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bashungwa aongoza hafla kumlaki Kardinali Rugambwa

KAGERA: WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameungana na wananchi wa Wilaya ya Karagwe na Mkoa Kagera katika hafla ya kumpongeza…

Soma Zaidi »
Afya

RC Mongella acharuka mochwari kugeuka stoo

ARUSHA: Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella ametoa miezi miwili kwa Mganga Mfadhiwi wa Kituo cha Afya Karatu Dk,…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mandonga kazini leo

MOROGORO: BONDIA Karimu Mandonga leo Desemba 29, 2023 atapanda ulingoni kuzichapa na, Jiti Mawe katika pambano lilopewa jina la Usiku…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Bao limegoma Uwanja wa Amaan

ZANZIBAR: Bado hakuna bao katika Uwanja wa Amaan Zanzibar ( New Amaan Complex) Tayari michezo mitatu imepigwa katika uwanja huo…

Soma Zaidi »
Madini

Wamiliki leseni za madini wapewa maagizo

LINDI: WAMILIKI leseni  za madini nchini wametakiwa  kuziendeleza la sivyo watafutiwa leseni hizo kwa mujibu wa sheria. Hayo yamesemwa na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mradi wa umeme wa JNHPP wafikia 94.7%

PWANI: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuwa, utekelezaji wa  mradi wa umeme wa Julius…

Soma Zaidi »
Siasa

Mayeye afungua pazia mbio za uenyekiti ACT Kigoma

KIGOMA: CHAMA cha, ACT Wazalendo leo  kimezindua mchakato wa uchaguzi wa ndani kwa ajili ya kuwapata viongozi wake wa ngazi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Makonda ateta na viongozi wa dini

GEITA: Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amewashukuru na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Jela miaka 30 kwa kumnajisi mtoto wa kambo

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imemuhukumu Makungu Juma (41) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumnajisi…

Soma Zaidi »
Back to top button