Year: 2023

Afya

Ummy aagiza huduma tiba kemia hospitali za rufaa za mikoa

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ameziagiza hospitali zote za mikoa za Rufaa kuhakikisha zinatoa tiba kemia lengo ni kuwapunguzia wagonjwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wakamatwa kwa kuendesha kiwanda bubu cha pombe

POLISI mkoani Morogoro inawashilia watu wanne kwa tuhuma za kuendesha kiwanda Bubu cha kutengeneza na kusambaza bidhaa bandia ya pombe…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ukaguzi magari ya shule, mabovu yazuiliwa

ARUSHA: Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha kimesema kinaendelea na ukaguzi wa magari ya shule ikiwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanafunzi wote wafike shule Januari 6-8

WAZAZI, walezi wametakiwa kuhakikisha wanafunzi wote walioandikishwa wawe wameshafika shule ifikapo Januari 6 hadi 8, 2024. Akizungumza leo mkoani Mtwara,…

Soma Zaidi »
Jamii

Rais Samia atoa mkono wa sikukuu makundi maalum

TANGA: Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi kwa ajili ya sikukuu za mwisho wa mwaka kwa vituo 14 vya watoto…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yapokea vichwa vitatu, mabehewa 27 treni ya umeme

SERIKALI imepokea vichwa vipya vitatu vya treni za umeme kutoka kampuni ya Hyundai Rotem na mabehewa mapya 27 ya abiria…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mwenyekiti UVCCM Same ahitimisha Samia Cup

MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Same, Azza Karisha amehitimisha mashindano ya Samia CUP…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wataalam Kishapu waichambua bajeti ya Sh bilioni 12

VIONGOZI wa vituo vya taarifa na maarifa kutoka kata tisa zilizojengewa uwezo na mtandao wa jinsia Tanzania TGNP kutoka Halmashauri…

Soma Zaidi »
Afya

Mbunge apongeza uimarishwaji vifaa tiba Hospitali ya Rufaa Morogoro

MBUNGE wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ameipongeza serikali kwa kuipatia Hospitali ya Rufaa ya Mkoa mashine ya CT-…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya

DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa…

Soma Zaidi »
Back to top button