Year: 2023

Infographics

Okrah rasmi Yanga

WINGA wa zamani wa Simba SC, Augustine Okrah ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa Yanga. Nyota huyo mwenye uwezo wa kucheza…

Soma Zaidi »
Tanzania

Atelekeza lori, bodaboda sita kisa bangi

MVOMERO, Morogoro: POLISI mkoani Morogoro inamsaka dereva wa lori aina ya Mitsubishi Fuso lenye namba za usajili T.301 DPQ  lenye…

Soma Zaidi »
Habari Kwa Kina

Nyuma ya chozi la Boss wa Nokia

MTANDAO: KAMPUNI ya mawasiliano ya simu, Nokia iliasisiwa mwaka wa 1865 nchini Ufini. Nokia ilikuwa kinara wa kimataifa katika mawasiliano…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ulinzi kila kona Mwanza

MWANZA: JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza limeimarisha ulinzi maeneo yote ya nchi kavu na majini katika Ziwa Viktoria kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mama Maria atimiza miaka 93

MTANDAO: RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana pamoja kumuombea na kumtakia heri, mke wa Rais wa kwanza wa Tanzania,…

Soma Zaidi »
Jamii

Wamiliki vituo vya kulea watoto mchana watakiwa kufuata miongozo

VITUO vya kulea watoto mchana ‘daycare center’ vinashindwa kujipambanua vyema ili kuendana na matakwa ya sheria,sera na muongozo dhidi ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Biteko awavulia kofia walimu Bukombe

BUKOMBE, Geita: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko  amewapongeza na kuwashukuru walimu wote wanaofundisha shule za…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Dk Mwinyi azindua Matumbaku Sports Complex

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Awamu ya nane inatilia mkazo ujenzi wa viwanja vya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mgogoro wa mpaka uliodumu miaka 15 wamalizwa

ARUSHA: Mgogoro wa mpaka wa Hifadhi ya Ziwa Manyara uliodumu zaidi ya miaka 15 kijiji cha Buger wilayani Karatu umepata…

Soma Zaidi »
Jamii

Ajitolea nyumba yake iwe kituo cha polisi

MWANZA:  Mfanyabiashara na mkazi wa Kata ya Ilangala, Kisiwa cha Gana, Wilaya ya Ukerewe, Nyamitere Ugunya,  amejitolea nyumba yake aliyokuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button