Year: 2023

Tanzania

“Tukikubali na kutii tutakula mema ya nchi”

MTWARA: WAKATI Wakristo Tanzania wakiungana na wengine duniani kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa ya Noel, Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Bilionea Mwingereza kuinunua Man United

BILIONEA wa Uingereza, Jim Ratcliffe amekubali kununua hisa asilimia 25 za Manchester United kwa takriban Dola bilioni 1.3. Taarifa ya…

Soma Zaidi »
Africa

Mapigano Nigeria, 16 wauawa

WATU 16 wameuawa katika shambulizi Kaskazini mwa Nigeria baada ya kutokea mapigano kati ya wafugaji na wakulima, taarifa ya mtandao…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Mpango: Fundisheni watoto uzalendo

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ameelekeza kwa wazazi kulea watoto wao vyema, kuwafundisha uzalendo na kufanya kazi kwa bidii…

Soma Zaidi »
Siasa

CCM yaelekeza ulinzi kwa wabunge

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetoa tamko kwa viongozi wa chama hicho kwenye mikoa na serikali kuwalinda wabunge wa CCM waliopo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Shirika lawakumbuka watoto wenye uhitaji Krismas

SHIRIKA la maendeleo ya vijana linalopambana na maambukizi ya HIV (YAAPA) limetoa misaada mbalimbali ya vyakula kwa watoto wenye mahitaji…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Washerehekea Krismasi kwa mara ya kwanza

UKRAINE: WAKRISTO wa Kanisa la Orthodoksi nchini Ukraine leo kwa mara ya kwanza wanasherehekea Krismasi mnamo Desemba 25. Awali, Ukraine…

Soma Zaidi »
Infographics

Wananchi Chad waunga mkono katiba mpya

WANANCHI wa Chad wamepiga kura kuunga mkono katiba mpya ambayo wakosoaji wanasema itampa nguvu ya kimamlaka ya kiongozi wa kijeshi…

Soma Zaidi »
Tanzania

“Nawasihi kuzingatia sheria ya usalama barabarani”

MTANDAO: RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuzingatia sheria ya usalama barabarani na kuchukua tahadhari na umakini mkubwa katika juma…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tuwachangie vifaa vya ujenzi Hanang

HANANG, Manyara: SERIKALI inatoa wito kwa wanaowiwa kutoa misaada kwa waathirika wa maafa ya Hanang, kujikita zaidi katika kutoa misaada…

Soma Zaidi »
Back to top button