Year: 2026

Afya

Wananchi 850+ Katavi wapatiwa matibabu bure

KATAVI: Zaidi ya wananchi 850 waliokuwa wakisumbuliwa na maradhi mbalimbali wamepatiwa huduma za matibabu na uchunguzi wa afya bila malipo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mtaala mpya waibua hitaji la walimu kujifunza upya

KAGERA: Walimu walioko kazini pamoja na vijana ambao hawakupata fursa ya kuendelea na elimu ya juu wametakiwa kutumia vyuo vinavyotoa…

Soma Zaidi »
Fedha

Watunga sera, watafiti kujadili mafaniko TRA kesho

DAR ES SALAAM: WATUNGA sera, watafiti, wataalamu wa kodi, wawakilishi wa sekta binafsi, walipa kodi na wadau mbalimbali wa maendeleo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wito watolewa vituo vya yatima kutumia nishati safi

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo Hoteli ya Serena, Dar es Salaam, Seraphin Lusala, amesema jamii inapaswa kusaidiana…

Soma Zaidi »
Tanzania

Shigela ataka umeme shule za umma Geita

GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ameagiza watendaji wa serikali kusimamia na kuhakikisha shule za umma zinafikiwa na…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Mwinyi kuwakilisha Tanzania mkutano wa bahari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amewasili jijini Mombasa kwa ziara ya kikazi ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Al Ameen Foundation wasaidia yatima Dar

DA ES SALAAM: Taasisi ya Al Ameen Foundation (AIF) imetoa msaada wa vyakula kwa kituo cha watoto yatima cha Upendo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanzania yasisitiza urejeaji wa hiari suluhisho kwa wakimbizi

USWISI: Tanzania imesisitiza kuwa urejeaji wa hiari ndilo suluhisho sahihi na la kudumu kwa wakimbizi, ili kufanikisha lengo la kupunguza…

Soma Zaidi »
Afya

Serikali yazindua kitabu safari ya upandikizaji wa moyo 

DAR ES SALAAM: Katika jitihada za kuhakikisha wananchi wanaendelea kupata huduma za kibingwa bobezi nchini, Serikali imezindua kitabu cha safari…

Soma Zaidi »
Tanzania

Jamii yahimizwa kuwekeza mustakabali wa watoto

DAR ES SALAAM: Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika Juni 16, wadau wa…

Soma Zaidi »
Back to top button