Merina Makasi

Bunge

Kadogosa: Biashara ndogondogo zahitaji mazingira wezeshi

MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, amesema biashara ndogondogo zinapaswa kuwekewa mikakati madhubuti na mazingira rafiki ili ziweze kustawi na…

Soma Zaidi »
Bunge

Spika ahoji TCRA, CMSA

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, ameziagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na…

Soma Zaidi »
Afya

Utunzaji salama vimelea wasisitizwa

WATAALAMU wa maabara nchini wametakiwa kuzingatia kwa umakini mkubwa maadili na viapo vya taaluma yao ili kulinda jamii dhidi ya…

Soma Zaidi »
Habari Kwa Kina

Urejeshaji duni mikopo ya elimu,teknolojia yatajwa kuwa suluhu

“MWAKA jana nilikuwa nimepata chuo  nikaomba mkopo lakini nilivyokosa, nikashindwa kwenda chuo,” anasema Singo Mrombo (20). Anaongeza: “Ninamtegemea mama yangu…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Mradi Kidijitali kuwanufaisha wanawake Lakimoja

ZAIDI ya wanawake 100,000 kutoka maeneo mbalimbali nchini wanatarajiwa kunufaika na mradi wa miaka mitatu wa uwezeshaji wa wanawake kiuchumi…

Soma Zaidi »
Afya

Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji macho

JUMLA ya  wagonjwa 823 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho katika kambi maalum ya madaktari bigwa iliyowekwa na Serikali…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ndejembi azindua kituo cha kuchajia magari

SERIKALI imezindua Kituo cha Kuchajia Vyombo vya Usafiri Vinavyotumia Umeme jijini Dodoma, katika hatua inayolenga kuharakisha matumizi ya nishati safi…

Soma Zaidi »
Bunge

Pato la mtanzania mmoja lafikia Mil.3.5

WASTANI wa pato la taifa kwa mtu mmoja mmoja nchini umeongezeka kwa asilimia 7.4 na kufikia shilingi 3,544,124 sawa na…

Soma Zaidi »
Ulaya

Tulia: Tanzania Iko Tayari kwa IPU

TANZANIA imewahakikishia wajumbe na wageni watakaoshiriki Mkutano wa 153 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kuwa imeweka na kuimarisha hatua…

Soma Zaidi »
Dodoma

Nchimbi atoa maagizo 10 kulinda mazingira

MAKAMU wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ametoa maagizo 10 kwa wadau wa mazingira, ikiwamo mamlaka za Serikali za Mitaa…

Soma Zaidi »
Back to top button