Sifa Lubasi

Chaguzi

INEC yaombwa kusimamia haki, usawa, uadilifu

DODOMA : TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeombwa kuhakikisha inatenda haki, usawa na uadilifu katika Uchaguzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Serikali ya ADC kulinda diplomasia ya Tanzania

DODOMA : CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema serikali yake italinda uhusiano wa Tanzania na nchi nyingine. Ilani…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Vyama, wagombea wapewa masharti kampeni Uchaguzi Mkuu

DODOMA: WAGOMBEA urais, ubunge na udiwani wa vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu kesho.

Soma Zaidi »
Chaguzi

Kabudi ahimiza uzalendo Uchaguzi Mkuu

DAR-ES-SALAAM : SERIKALI imeagiza waandishi wa habari waandike habari za Uchaguzi Mkuu wakizingatia uzalendo badala ya masilahi binafsi. Waziri wa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Chaumma kutangaza wagombea ubunge

DAR-ES-SALAAM : CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinatarajia kutangaza majina ya wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu Agosti 24, mwaka…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Polisi yataka wanahabari waheshimu mipaka

DAR-ES-SALAAM : JESHI la Polisi limewataka wanahabari watambue na kuheshimu mipaka katika utekelezaji wa majukumu yao wakati wa Uchaguzi Mkuu.

Soma Zaidi »
Chaguzi

TCRA yatahadharisha uchochezi habari za uchaguzi

DAR-ES-SALAAM : MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka waandishi wa habari waepuke kuripoti taarifa za uchochezi zinazoweza kuchochea migogoro na…

Soma Zaidi »
Chaguzi

CCM kuamua wagombea ubunge, wawakilishi 

MTANDAO : MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Sheria yatoa mwongozo kampeni za Uchaguzi Mkuu

DODOMA :WAGOMBEA katika Uchaguzi Mkuu wameelekezwa kuwasilisha kwa msimamizi wa uchaguzi mapendekezo ya ratiba inayoonesha muda na mahali mikutano ya…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Wagombea waanza kuchukua fomu za uteuzi

MVOMERO : MGOMBEA kupitia Chama cha Al- liance for Democratic Change (ADC), Jesca Mfumya alifika Ofisi ya Msi- mamizi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button