Na Mwandishi Wetu

Tanzania

Mkumbo: Changamkieni matibabu bure

DAR ES SALAAM:WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof,Kitila Mkumbo amewataka wananchi kuchangamkia kambi ya matibabu bure na…

Soma Zaidi »
Gesi

Serikali yaeleza hali ya upatikanaji mafuta

DAR ES SALAAM: Serikali imeeleza kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta nchini bado ni shwari, huku bei zikiwa himilivu, ambapo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanafunzi 18 watua Korea kimasomo

DAR ES SALAAM :ZAIDI ya wanafunzi wa Kitanzania 18 wamepelekwa nchini korea kwa ajili ya masomo ikiwa ni matokeo ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Wanawake 39.5% wamekutana na ukatili kijinsia

DAR ES SALAAM: Serikali imesema ukatili wa kijinsia unaendelea kuwa moja ya changamoto kubwa za haki za binadamu nchini, huku…

Soma Zaidi »
Tanzania

UNCDF yaunga mkono matumizi nishati safi shuleni

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Mitaji (UNCDF) limesema kuwa linaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhakikisha…

Soma Zaidi »
Afya

Madaktari 30 raia wa China kutoa huduma za afya bure Ubungo

DAR ES SALAAM: Madaktari 30 kutoka China wanatarajiwa kuendesha kambi maalum ya siku mbili ya kutoa huduma za afya bure…

Soma Zaidi »
Tanzania

TET, taasisi kuboresha mitaala wanafunzi wenye mahitaji maalumu

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana na Jenga Hub chini ya Miss Tanzania 2006, Nancy Sumari,…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mbio zatoa hamasa AFCON 2027

ARUSHA: Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Yusuph…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Maadili ni msingi uongozi bora’

MOROGORO: OFISI ya Rais ,Sekretarieti ya Maasili ya viongozi wa Umma imewataka viongozi kuzingatia misingi ya maadili kwenye utumishi wao…

Soma Zaidi »
Tanzania

TBL yaja na mpango kulinda rasilimaji za maji

DAR ES SALAAM: Kiwanda cha Tanzania Breweries Limited (TBL) kimeweka mkakati wa kupunguza matumizi ya maji katika uzalishaji wa bia…

Soma Zaidi »
Back to top button