Dotto Lameck

Tanzania

Masauni ataka NEMC ipewe helkopta, awaonya wanaochafua mazingira 

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Rais; Muungano na Mazingira, Hamad Yusuf Masauni, amesema Baraza la…

Soma Zaidi »
Infographics

Mshindi wa mil 10/- aahidi kujenga msikiti

DAR ES SALAAM: Mshindi wa hundi ya Sh milioni 10 Umriya Omari amesema fedha hizo atazielekeza katika ujenzi wa kujenga…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanolewa kukabili uhalifu wa mazingira

DAR ES SALAAM: Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Italia ( Sant’Anna School…

Soma Zaidi »
Tanzania

DC Kinondoni aisifu kampuni ajira kwa vijana

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya Dough Works Ltd umesaidia…

Soma Zaidi »
Jamii

Walioathirika mafuriko wapatiwa msaada wa vyakula

MANYARA: WATU zaidi ya 1,163 walioathirika na mafuriko baada ya nyumba zao kusombwa na maji katika Tarafa ya Moipo Wilaya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kill Marathon 2026 yatikisa Moshi

MOSHI: Moshi ilichangamka kwa mara nyingine tena huku maelfu ya wakimbiaji, mashabiki, na watazamaji wakikusanyika kushuhudia toleo la mwaka 2026…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Karibu hapa ni nyumbani’

DAR ES SALAAM: Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imemkaribisha rasmi Mkurugenzi Mtendaji mpya, CPA…

Soma Zaidi »
Mafuta

Utaratibu mpya TRA waharakisha usambazaji mafuta

DAR ES SALAAM: Utaratibu mpya wa kutoa mafuta kwenye vituo vya kuhifadhia mafuta ya dizeli na petroli kwenda sokoni uliowekwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mbunge aanzisha mfuko maalumu kusaidia wanafunzi Ngorongoro

ARUSHA: Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Yannick ameanzisha mpango maalumu wa kuanzisha mfuko wa elimu utakaowanufaisha wanafunzi 280…

Soma Zaidi »
Infographics

TRA yasisitiza makadirio kwa wakati

DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amewataka walipakodi ambao bado hawajafanyiwa makadirio ya…

Soma Zaidi »
Back to top button