Na Merina Makasi, Dodoma

Jamii

Wanaume waonywa kutelekeza watoto

DODOMA: Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu, Ummy Nderiananga, amewataka…

Soma Zaidi »
Siasa

Kituo cha mabasi Ngangamfumuni kuifungua Moshi

MOSHI: UJENZI wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Kimataifa cha Ngangamfumuni katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro unatajwa kuwa chachu…

Soma Zaidi »
Infographics

CCM: Msiwakabidhi nchi wasio na leseni ya uongozi

MOSHI: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania kutokubali kuwakabidhi watu wasio na sifa na uzoefu wa uongozi dhamana ya kuongoza…

Soma Zaidi »
Siasa

Mitungi 3,000 yazalishwa Hospitali ya Rufaa Mawenzi

KILIMANJARO: ZAIDI ya Mitungi 3000 ya Oksijeni imezalishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mawenzi katika kipindi cha miezi sita…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mpango mpya UNDP kuongeza ujuzi, ubunifu kwa wahitimu

DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Maendeleo Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania limesaini Hati za Makubaliano (MoUs) na taasisi tisa za…

Soma Zaidi »
Afya

Jamii yahamasishwa kuchangia damu

KIGOMA: Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Dk Damas Kayera ameihamasisha jamii kujenga utamaduni wa kuchangia damu mara kwa mara…

Soma Zaidi »
Mafuta

Kituo cha mafuta Arusha kuongeza ajira

ARUSHA: UZINDUZI wa kituo kipya cha mafuta cha Orxy wilayani Karatu mkoani Arusha ni hatua muhimu ya kuongeza fursa za…

Soma Zaidi »
Jamii

THRDC, Wamasai waungana kulaani mauaji ya Bhaozang Ge

DAR ES SALAAM: WAKILI wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa, ameliomba Jeshi la Polisi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mapambano dawa za kulevya yaendelea kuzaa matunda

DODOMA: Serikali imesema imeendelea kupata mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini kutokana na kuimarika kwa operesheni…

Soma Zaidi »
Siasa

Sh Bilioni 4.4 zaboresha mazingira ya elimu Siha

KILIMANJARO: SERIKALI ya Awamu ya Sita imeendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi wa kike nchini kupitia uwekezaji mkubwa wa…

Soma Zaidi »
Back to top button