Na Ramla Hamidu

Siasa

CCM yaonya watakaokwamisha huduma kwa wananchi

KILIMANJARO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitakuwa tayari kuvumilia mtumishi yeyote wa chama au serikali atakayekwamisha jitihada za utoaji huduma…

Soma Zaidi »
Tanzania

Rulenge wazindua AMCOs kuboresha masoko ya mazao

KAGERA: Wananchi wanaojishughulisha na kilimo cha mazao katika Tarafa ya Rulenge, wilayani Ngara mkoani Kagera, kwa pamoja wameanzisha Chama cha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yaimarisha mazingira usafiri mtandao

DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wa huduma za usafiri wa mtandao huku ikisisitiza kuwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mradi waboresha huduma ya maji Hanang

MANYARA: Wananchi wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara wameendelea kunufaika na huduma za maji safi, vyoo bora pamoja na elimu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kigoma kuondoa vikwazo vya wasafirishaji saruji

KIGOMA: SERIKALI mkoani Kigoma imeahidi kutatua changamoto zisizo za kikodi zinazowakabili wafanyabiashara na wasafirishaji wa malighafi ya kutengeneza saruji (Clinker)…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanzania kutekeleza miradi 60 ya Dola bilioni 2.85

ARUSHA: TANZANIA imejiandaa kutekeleza kwa zaidi ya miradi 60 yenye thamani ya Dola za Kimarekani bilioni 2.85 sawa na zaidi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanzania, Brazil zapinga utumikishaji watoto

DAR ES SALAAM: Tanzania na Brazil zimekutana katika mkutano wa siku tatu kujadili namna ya kupambana na utumikishwaji wa watoto…

Soma Zaidi »
Infographics

Wanafunzi BTI waisifu serikali ujenzi wa bweni

TABORA: WANAFUNZI wakike wa Chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki (BTI),Tabora ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Wizara…

Soma Zaidi »
Utalii

Tabora kuwa kinara utalii mambo ya kale

TABORA: SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii chini ya Idara ya Mambo ya Kale inatarajia kuanisha wazi vivutio vya…

Soma Zaidi »
Biashara

Miradi yalenga kuzalisha lita bilioni 13 za maziwa

IRINGA: Katika kuadhimisha Wiki ya Unywaji Maziwa nchini inayofanyika kitaifa mkoani Iringa, Bodi ya Maziwa Tanzania imetambulisha miradi miwili mikubwa…

Soma Zaidi »
Back to top button