Na Mwandishi Wetu

Sayansi & Teknolojia

Apple kuboresha iPhone 12 Ufaransa

KAMPUNI ya Kielektroniki ya Apple inakusudia kuboresha simu aina ya iPhone 12 nchini Ufaransa, baada ya hofu kuhusu mionzi, Waziri wa…

Soma Zaidi »
Africa

Waliokufa mafuriko wafikia 11,000 Libya

IDADI ya waliofariki kutokana na mafuriko katika mji wa Pwani wa Derna nchini Libya imeongezeka hadi 11,300. Juhudi za utafutaji…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Maddison achezaji bora Agosti

KIUNGO wa Tottenham Spurs, James Maddison amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Agosti wa Ligi Kuu England.

Soma Zaidi »
Tanzania

Mwenyekiti halmashauri aamuriwa kumlipa Sh milioni 250 RC mstaafu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha jana imemuamuru Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Isack Joseph maarufu kwa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Nusu fainali Angeline Jimbo Cup kupigwa Septemba 20

MASHINDANO ya Angeline Jimbo cup yanatarajia kuendelea Septemba 20 mwaka huu kwa mchezo mmoja wa nusu fainali katika uwanja wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Walker aongeza mkataba City

BEKI wa kulia wa Manchester City, Kyle Walker ameongeza mkataba wa miaka mitatu wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Kyle Walker:…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Palhinha ajipiga kitanzi Fulham

KIUNGO Joao Palhinha amesaini mkataba mpya na Fulham utakaomuweka klabuni hapo hadi mwaka 2028, wenye kipengele cha kuongeza mwaka mwingine.…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Draxler kujiunga Al-Ahli

KIUNGO mshambuliaji wa PSG, Julian Draxler huenda akajiunga na Al-Ahli. Kwa mujibu wa taarifa ya Fabrizio Romano, klabu hiyo imewasilisha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wananchi Mtwara walivyompokea Rais Samia

BAADHI ya Wananchi mkoani Mtwara leo wamejitokeza kwa wingi uwanja wa ndege kumpokea Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Wakiwa uwanjani hapo…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mashujaa watambulisha jezi mpya

Timu ya Mashujaa FC kutoka Kigoma imetambulisha jezi zao za msimu wa 2023-2024 kwa mara ya kwanza ambapo zitaanza kuuzwa…

Soma Zaidi »
Back to top button