Biteko kuhitimisha kilele maadhimisho miaka 30 VETA

NAIBU Waziri Mkuu Dk Doto Biteko leo Machi 21 anatarajiwa kuhitimisha Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 30 Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufindi Stadi (VETA).  Atahitimisha maadhimisho hayo jijini Dar es Salaam.
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *