Afya

Asilimia 59 ya majeruhi MOI ajali za barabarani

DAR ES SALAAM; TAASISI ya Tiba na Mifupa Muhimbili (MOI) imesema wagonjwa 405 sawa na asilimia 5.2 wameongezeka kutoka 7,797…

Soma Zaidi »

Benjamin Mkapa yapandikiza figo mgonjwa wa 50, yaokoa bil 1.6/-

HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH) ya mkoani Dodoma imefanikiwa kumpandikiza figo kwa mafanikio mgonjwa wa 50 tangu kuanza kutoa huduma…

Soma Zaidi »

Wasanii wajitokeza kupima magonjwa ya moyo Dar

DAR ES SALAAM; WASANII mbalimbali wakiongozwa na Mboso Khan na Zuhura Othuman ‘Zuchu’ wamejitokeza kupima magonjwa ya moyo katika kliniki…

Soma Zaidi »

Wamuombea msaada wa matibabu kwa Rais Samia

SHIRIKISHO la Mchezo wa Bao Tanzania (Shimbata) limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia gharama za matibabu Rais wa shirikisho hilo…

Soma Zaidi »

Watumishi Moi sikukuu imekuja vizuri

Menejimenti ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetoa zawadi ya Sikukuu ya Krismas kwa watumishi wake…

Soma Zaidi »

Wadau waguswa maendeleo ya afya Geita

WADAU wa Maendeleo kutoka Kampuni ya Isamilo Supplies Limited, wameeleza kuridhishwa na maendeleo ya sekta ya afya katika Manispaa ya…

Soma Zaidi »

TASAF yakamilisha ujenzi Kituo cha Afya Upenja

UNGUJA, Zanzibar: MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umekamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Upenja katika Wilaya ya Kaskazini B,…

Soma Zaidi »

Majaliwa atembelea kiwanda cha dawa za binadamu, Kigamboni

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Desemba 14 ametembelea kiwanda cha kutengeneza dawa za binadamu cha Cure Afya kilichopo Kigamboni jijini…

Soma Zaidi »

Wanaojitolea wafundishwe huduma za dharura

SERIKALI imesema wananchi wanaojitolea, Polisi na madereva wanaoendesha magari ya ‘ambulance’ wanahitaji kupewa mafunzo namna ya kuhudumia wagonjwa wa dharura…

Soma Zaidi »

Wasanii wajitokeza kupima moyo

WASANII wa Sanaa mbalimbali watakiwa kujitokeza kupima ugonjwa wa moyo na kupatiwa matibabu bure kwa muda wa miezi miwili Disemba…

Soma Zaidi »
Back to top button