Afya

Serikali yaja na mpango ajira kwa madaktari

DAR ES SALAAM  – NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi amesema serikali…

Soma Zaidi »

Kuhifadhi mbegu za uzazi Sh milioni moja

DAR ES SALAAM – KITUO cha kupandikiza mimba cha Dk Samia Suluhu Hassan katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dar…

Soma Zaidi »

Watakiwa kutunza mazingira soko la samaki Mikindani

WAFANYABIASHARA samaki katika soko la feri lililopo Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wametakiwa kutunza mazingira ili kuepukana na magonjwa…

Soma Zaidi »

Rais Samia kubariki Kongamano la Afya

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la 11 la Afya Oktoba Mosi katika Mji wa…

Soma Zaidi »

Wanafunzi Mikindani wapewa elimu, maziwa

BODI ya Maziwa imetoa elimu pamoja na maziwa kwa watoto wenye mahitaji maalumu kutoka shule mbalimbali zilizopo Manispaa ya Mtwara…

Soma Zaidi »

Upimaji afya kwenda nyumba kwa nyumba

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amesema miongoni mwa majukumu ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii ni…

Soma Zaidi »

Ni hatari kuzidisha vijiko 5 vya asali, sukari

JAMII imehimizwa kutumia asali au sukari vijiko visivyozidi vitano kwa siku ili kuepukana na uwezekano wa kupata magonjwa ya kisukari.…

Soma Zaidi »

Usugu wa dawa kumaliza watu

ULAYA : Utafiti unaonyesha zaidi ya watu milioni 39 wanaweza kupoteza maisha kutokana na usugu wa dawa za antibayotiki zinazotibu…

Soma Zaidi »

Upandikizaji mimba Tanzania umeanza

DAR-ES-SALAAM : MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Philip Mpango amewataka watanzania kuchangamkia fursa za kupata…

Soma Zaidi »

Serikali kuimarisha tiba bobezi – Mhagama

DAR-ES-SALAAM : WAZIRI wa Afya,Jenista Mhagama amesema serikali itaendelea kuimarisha tiba bobezi ili kuokoa maisha ya wananchi na kupunguza rufaa…

Soma Zaidi »
Back to top button