Fedha

Majaliwa atoa maagizo makusanyo TRA

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kuongeza makusanyo. Majaliwa alisema hayo wakati wa…

Soma Zaidi »

Vyombo vya habari mbioni kupata ruzuku

SERIKALI imesema inatafakati kuona namna ya kufadhili vyombo vya habari kwa kuvipa ruzuku. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango…

Soma Zaidi »

Samia aweka historia Dira 2050

RAIS Samia Suluhu Hassan ameweka historia ya kuwa Rais wa pili wa Tanzania kuandika Dira ya Taifa ya Maendeleo isiyokuwa…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ataka kasi PPP viwanja Sabasaba

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema sasa ni wakati wa kuwa na uwanja wa kisasa wa maonesho ya kimataifa…

Soma Zaidi »

Tanzania yang’ara biashara duniani

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Tanzania inang’ara katika biashara duniani. Dk Mwinyi alisema hayo wakati akifungua Maonesho ya…

Soma Zaidi »

Halmashauri ya Mji Handeni yatoa mikopo mil 588/-

Halmashauri ya Mji Handeni imetoa Sh Milioni 588 kwa vikundi 109 vya wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu kwa kipindi…

Soma Zaidi »

BoT yapunguza riba ya mikopo

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imepunguza riba yake kutoka asilimia sita hadi 5.75. Gavana wa BoT, Emmanuel Tutuba amesema hayo…

Soma Zaidi »

Sababu saba TRA ikikusanya tril 32/-

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeweka rekodi kwa ukusanyaji wa mapato kwa kukusanya Sh trilioni 32.29 katika Mwaka wa Fedha…

Soma Zaidi »

Mwanga Benki yaanza huduma mpya ya mikopo

DAR-ES-SALAAM : BENKI ya Mwanga Hakika imezindua huduma mpya ya utoaji haraka wa mikopo kupitia hati fungani inayoitwa 'Mkopo Chap'…

Soma Zaidi »

Ushirikiano Tanzania, China kuibua fursa za ajira

SERIKALI kwa kushirikiana na Jumuiya ya Wafanyabiashara wa China wanaofanya shughuli zao nchini, imeingia makubaliano ya kutoa ajira kwa zaidi…

Soma Zaidi »
Back to top button