Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Mil 120/- zafidia wafanyabiashara Soko la Mashine Tatu Iringa
September 18, 2025
Mil 120/- zafidia wafanyabiashara Soko la Mashine Tatu Iringa
IRINGA: Wafanyabiashara 40 wa Soko la Mashine Tatu, mjini Iringa, waliopoteza bidhaa na mitaji kufuatia ajali ya moto, wamekabidhiwa hundi…
Misingi imara ya ukaguzi yaipaisha NBAA Afrika
September 17, 2025
Misingi imara ya ukaguzi yaipaisha NBAA Afrika
DAR ES SALAAM: Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) imeeleza kuwa moja ya sababu zilizochangia Shirikisho la Wahasibu…
Serikali ilivyofanya mageuzi sekta ya maji
September 16, 2025
Serikali ilivyofanya mageuzi sekta ya maji
MAJI ni uhai ni kauli ambayo imekuwa ikisemwa na watu wengi kuonesha umuhimu wa maji katika maisha ya Watanzania. Pia…
EAC iwalinde wanawake biashara za kuvuka mpaka
September 16, 2025
EAC iwalinde wanawake biashara za kuvuka mpaka
BAADHI ya wanawake wanategemea biashara za kuvuka mpaka kupata riziki za kuendesha familia zao ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki…
TRA yafundwa kuepusha migogoro Katavi
September 16, 2025
TRA yafundwa kuepusha migogoro Katavi
KATAVI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Katavi imetakiwa kufanya kazi kwa weledi ili kuondoa changamoto zote zinazoweza kusababisha…
TADB yaipiga jeki Galaxy Food kuongeza uzalishaji, soko
September 12, 2025
TADB yaipiga jeki Galaxy Food kuongeza uzalishaji, soko
ARUSHA: Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeiwezesha Kampuni ya Maziwa Galaxy Food and Beverages Ltd kuondoa vikwazo vya…
Sekta ya nguruwe kupata msukumo mpya
September 11, 2025
Sekta ya nguruwe kupata msukumo mpya
DAR-ES-SALAAM : WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, amesema Tanzania itanufaika na kongamano kubwa la wafugaji wa nguruwe Barani Afrika, litakalosaidia…
Bandari yachangia 40% Pato la Taifa
September 11, 2025
Bandari yachangia 40% Pato la Taifa
WIZARA ya Uchukuzi imesema sekta ya usafirishaji kupitia bandari inachangia asilimia 40 ya mapato ya nchi. Pia, imesema serikali ina…
Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia
September 11, 2025
Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia
ALGIERS, ALGERIA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli nchini (PURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Petroli Algeria (ARH)…
Bandari ya Mtwara yazidi kung’ara kimataifa
September 9, 2025
Bandari ya Mtwara yazidi kung’ara kimataifa
MTWARA : SERIKALI ya Urusi imeonyesha nia ya kutumia Bandari ya Mtwara kusafirisha bidhaa zake na kuzisambaza katika nchi jirani…