Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Wadaiwa wapewa siku 14 kurejesha mikopo
June 16, 2025
Wadaiwa wapewa siku 14 kurejesha mikopo
DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Tambaza Auction Mart na General Brokers Limited, kwa niaba ya Bodi ya Amana, imetoa siku…
Mifugo, uvuvi inachangia 6% pato la taifa – Dk Nchimbi
June 15, 2025
Mifugo, uvuvi inachangia 6% pato la taifa – Dk Nchimbi
SUMIYU: KATIBU wa Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema Wizara ya Mifugo na Uvuvi inachangia asilimia…
Timu za MKUMBI II, Maboresho ya Kodi zakutana
June 14, 2025
Timu za MKUMBI II, Maboresho ya Kodi zakutana
KATIBU Mkuu wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dk Tausi Kida, amezikutanisha Timu za Wataalamu wa Kuandaa Mpango wa…
Bajeti yakonga mioyo ya wananchi
June 14, 2025
Bajeti yakonga mioyo ya wananchi
SERIKALI imepongezwa kwa kuwasilisha Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi, hatua inayoonekana kuwa chachu kwa…
Mbunge ahoji Kagera kutajwa mkoa Masikini
June 13, 2025
Mbunge ahoji Kagera kutajwa mkoa Masikini
DODOMA; MBUNGE wa Viti Maalumu, Bernadetha Mushashu, amehoji sababu ya Mkoa wa Kagera kuwa miongoni mwa mikoa mitano ya mwisho…
Kaukau kutozwa ushuru
June 12, 2025
Kaukau kutozwa ushuru
DODOMA; SERIKALI inakusudia kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha Shilingi 50 kwa kilo ya crisps (kaukau) zinazozalishwa nchini, na…
Ushuru vinywaji vya kuongeza nguvu kupunguzwa
June 12, 2025
Ushuru vinywaji vya kuongeza nguvu kupunguzwa
DODOMA; SERIKALI inakusudia kupunguza kiwango cha ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinavyozalishwa ndani ya nchi…
Sh tril.40 bajeti kugharamiwa na mapato ya ndani
June 12, 2025
Sh tril.40 bajeti kugharamiwa na mapato ya ndani
DODOMA; BAJETI ya serikali ya mwaka wa fedha 2025/26 inatarajiwa kugharamiwa na mapato ya ndani ya shilingi trilioni 40.47. Kauli…
ZIARA SBL: Dhamira, uendelevu na ukuaji jumuishi vyamkosha mjumbe, Balozi wa Uingereza
June 12, 2025
ZIARA SBL: Dhamira, uendelevu na ukuaji jumuishi vyamkosha mjumbe, Balozi wa Uingereza
Dar es Salaam: Serengeti Breweries Limited (SBL), kampuni tanzu ya Diageo PLC, leo, Alhamisi, imewapokea Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,…
Misingi ya bajeti 2025/26 hii hapa
June 12, 2025
Misingi ya bajeti 2025/26 hii hapa
DODOMA; WAZIRI wa Fedha, Dk Mwiguku Nchemba, muda huu anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2025/26.…