Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

TMRC kuwawesha wananchi kupata makazi

TMRC kuwawesha wananchi kupata makazi

SERIKALI imesema itaendelea kushirikiana na taasisi za fedha kuiwezesha sekta ya fedha kupata mikopo yenye gharama nafuu ili kuisaidia jamii…
Sekta ya huduma kipaumbele uchumi SADC

Sekta ya huduma kipaumbele uchumi SADC

DAR ES SALAAM :Sekta ya huduma imetajwa kuwa nguzo muhimu ya kukuza uchumi ndani ya Tanzania na Ukanda wa nchi…
Serikali yazungumzia ushirikiano na sekta binafsi

Serikali yazungumzia ushirikiano na sekta binafsi

FISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesema serikali iliamua kushirikiana na sekta binafsi katika uendeshaji wa baadhi ya mashirika ili…
Ridhiwani : Tudumishe amani ya nchi

Ridhiwani : Tudumishe amani ya nchi

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais , Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Ridhiwani Kikwete, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha amani, mshikamano…
Vijana wanufaika mageuzi ya mikopo

Vijana wanufaika mageuzi ya mikopo

SERIKALI imetangaza kupunguza masharti ya upatikanaji wa mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, ikiwemo kuondoa sharti la lazima la…
Handeni Mji kuzindua Jukwaa uwezeshaji wanawake

Handeni Mji kuzindua Jukwaa uwezeshaji wanawake

TANGA; KUELEKEA kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Halmashauri ya Mji Handeni inatarajia kuzindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake…
Maofisa elimu kuwezeshwa mikopo

Maofisa elimu kuwezeshwa mikopo

ARUSHA: BENKI ya CRDB imesaini mkataba wa miaka mitano na Umoja wa Maofisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri Tanzania Bara…
Vodacom yatoa fursa wawekezaji wadogo

Vodacom yatoa fursa wawekezaji wadogo

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeongeza kasi ya uwekezaji katika ubunifu wa kidijiti kwa ajili ya…
TRA yaagizwa usimamizi mizigo ya nje

TRA yaagizwa usimamizi mizigo ya nje

SERIKALI imeiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuimarisha usimamizi wa mizigo inayoingia nchini kwa ajili ya kusafirishwa kwenda nchi jirani…
Wanafunzi Dar wapewa elimu ya fedha

Wanafunzi Dar wapewa elimu ya fedha

DAR ES SALAAM: Shirika la Hazina SACCOS limetoa mafunzo ya elimu ya fedha kwa wanafunzi wa shule za sekondari mkoani…
Back to top button