Uchumi

Hakuna nyaraka sahihi malipo Sh Bil 1.95 Tanapa

MAMLAKA ya Hifadhi ya Taifa (TANAPA),  imefanya malipo mbalimbali yenye thamani ya Sh bilioni 1. 95 kupitia hati za malipo…

Soma Zaidi »

Mashirika 7 yasaini mikataba kinyume cha sheria

MASHIRIKA saba ya umma yamesaini mikataba ya Sh bilioni 45. 71 na Dola milioni 7.75 bila kupekuliwa na Mwanasheria Mkuu…

Soma Zaidi »

CAG abaini hasara mashirika 14

MASHIRIKA 14 ya umma ya kibiashara yamepata hasara katika uendeshaji. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali…

Soma Zaidi »

ATCL yapata hasara Sh Bil. 35

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL), imepata hasara ya Sh bilioni 35. 23 katika mwaka wa fedha 2021/22. Ripoti ya Mdhibiti…

Soma Zaidi »

Deni la serikali lafikia Sh tril.71

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema mpaka kufikia Juni 30, 2022 deni la serikali…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi apongezwa nia kubinafsisha mashirika

WADAU wa sekta binafsi na wachumi wamesema Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ana lengo sahihi kutaka kuyakabidhi mashirika ya…

Soma Zaidi »

Kamati yamaliza utata kilo nne za tanzanite

KAMATI ya wataalamu wa ramani mgodini kutoka Chuo cha Madini Dodoma imetoa ripoti kwamba madini kilo nne yalichimbwa mita 650…

Soma Zaidi »

NALA kuwekeza zaidi ya bil 2/- baada ya kupata ‘baraka’ za BOT

KAMPUNI ya Kitanzania inayotoa huduma ya malipo kwa njia ya kieletroniki, NALA, imepewa leseni na Benki Kuu (BOT) itakayowezesha kufanya…

Soma Zaidi »

Majaliwa akagua ujenzi SGR Mwanza-Isaka

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo 26 Machi 2023 amekagua mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa SGR Mwanza-Isaka, kipande cha…

Soma Zaidi »

Waomba ushuru kuingiza mabasi upunguzwe

WAMILIKI wa mabasi nchini, wameiomba serikali kupunguza ushuru wa kuingiza mabasi ambao umepanda kutoka Sh milioni 40 hadi milioni 90.…

Soma Zaidi »
Back to top button