Africa

Wanafunzi 50 Kenya walazwa ugonjwa usiojulikana

WANAFUNZI 50 wa shule ya sekondari ya wasichana Eregi Girls High School nchini Kenya wamelazwa hospitalini katika mji wa Kakamega,…

Soma Zaidi »

Theresa Kufuor afariki dunia

GHANA: Theresa Kufuor, Mke wa Rais wa zamani wa Ghana, amefariki akiwa na umri wa miaka 87. Bi Kufuor alihudumu…

Soma Zaidi »

Ilebaye ashinda Big Brother Naija – All Stars

LAGOS, Nigeria: Mjasiriamali na Mwanamitindo Ilebaye Odiniya ameibuka mshindi katika msimu wa nane wa shindano la runinga Big Brother Naija…

Soma Zaidi »

Kagame autaka tena urais

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa nne katika uchaguzi wa rais mwaka ujao. – “Ndiyo, hakika mimi…

Soma Zaidi »

Helikopta KDF yaanguka Kenya

HELIKOPTA ya Kikosi cha Ulinzi cha Kenya (KDF) imeanguka huko Lamu na kusababisha vifo miongoni mwa wafanyakazi na wanajeshi. –…

Soma Zaidi »

Mwanamuziki Whittaker afariki dunia

“Nenda sehemu yoyote kila mtu ana sehemu yake aliyozaliwa kwangu mimi ni Kenya” ni shairi linalopatikana kwenye wimbo wa ‘My…

Soma Zaidi »

Libya yatangaza hali ya dharura

SERIKALI ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa lengo la kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo…

Soma Zaidi »

Waliokufa mafuriko wafikia 11,000 Libya

IDADI ya waliofariki kutokana na mafuriko katika mji wa Pwani wa Derna nchini Libya imeongezeka hadi 11,300. Juhudi za utafutaji…

Soma Zaidi »

Rais Misri apendekeza sera ya mtoto mmoja

MISRI: Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amewataka Wamisri kuwa na watoto wachache, akisema kwamba kiwango cha sasa cha kuzaliana…

Soma Zaidi »

Mahakama yatupiliambali pingamizi kwa Rais Tinubu

NIGERIA: Mahakama ya uchaguzi wa rais nchini Nigeria imetupilia mbali hoja za wapinzani kupinga ushindi wa Bola Tinubu katika uchaguzi…

Soma Zaidi »
Back to top button