Africa

Kiongozi wa kijeshi Gabon aapishwa kuwa rais

GABON: Kiongozi wa kijeshi nchini Gabon, Brice Nguema, ameapishwa kuwa rais wa mpito wa taifa hilo. – Jenerali Nguema aliongoza…

Soma Zaidi »

Mnangagwa kuapishwa leo

RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa anatarajiwa kuapishwa leo kwa muhula wa pili wa nafasi ya urais. – Kiongozi huyo alishinda…

Soma Zaidi »

Watu kadhaa wahofiwa kufa ajali ya boti Cape Verde

WATU kadhaa wamekufa na wengine 38 kuokolewa katika ajali ya boti Cape Verde. Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeonya…

Soma Zaidi »

Bosi Safaricom ajiuzulu

KENYA, Nairobi: Aliyewahi kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mwanzilishi na baadaye Mkurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya Mawasiliano ya Safaricom PLC,…

Soma Zaidi »

Benki ya Dunia yasitisha ufadhili Uganda kisa sheria ya kupinga ushoga

UGANDA, Kampala: Benki ya Dunia imesitisha ufadhili wowote mpya kwa miradi nchini Uganda, ikitaja ukiukwaji wa haki za binadamu kutokana…

Soma Zaidi »

Rais Kagame, Mwenyekiti Star Times wateta

RAIS Paul Kagame wa Rwanda na Mwenyekiti wa Kampunini za Star Times wamekutana na kufanya mazungumz. Taarifa iliyotolewa na Star…

Soma Zaidi »

Wanajiolojia kukutana Zanzibar kujadili uchumi wa buluu

ZANZIBAR ZAIDI ya wanajiolojia 300 kutoka ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa kukutana Zanzibar kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mchango wa…

Soma Zaidi »

Jeshi la RSF lateka Darfur Kusini

JESHI la wapiganaji la Rapid Support Forces (RSF) limefanikiwa kumiliki Darfur Kusini huku kukiwa na taarifa zaidi za ukiukwaji wa…

Soma Zaidi »

Kaya masikini kupokea Sh 24,000 kila mwezi Nigeria

RAIS mpya wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza mpango wa serikali yake kutoa dola 10 (Sh 24,000) kwa mwezi kwa kaya…

Soma Zaidi »

Wanywaji pombe waongezeka, unywaji kupindukia wapungua

UTAFITI uliofanywa na Kituo cha Matibabu cha Rwanda (RBC) umebaini kuwa kiwango cha watu wanaokunywa pombe nchini kimeongezeka kutoka asilimia…

Soma Zaidi »
Back to top button