WIZARA ya Nishati imesema karibu nusu ya umeme unaozalishwa nchini hapa hautumiki. Akihutubia wanahabari Jumatano, Kaimu Kamishna Msaidizi anayesimamia ufanisi…
Soma Zaidi »Africa
KASI ya wadau mbalimbali katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuinadi Lugha ya Kiswahili ili itumike katika kanda…
Soma Zaidi »IDADI ya waliofariki katika ajali ya gari makutano ya barabara ya Londiani nchini Kenya imefikia 51. Ajali hiyo imetokea Juni…
Soma Zaidi »WAKAZI wa Khartoum nchini Sudan wamesherehekea Sikukuu ya Idd huku milio ya risasi ikisikika pamoja na kuwa wapiganaji wa pande…
Soma Zaidi »CHIFU Mkuu wa Tekwaro Lango, Dk Moses Michael Odongo Okune amewataka wanaume wanaotafuta vipimo vya vinasaba maarufu DNA kwa ajili…
Soma Zaidi »JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeitengea Tume ya Kiswahili Afrika Mashariki (EAKC) Dola za Marekani 1,502,535 (takribani Sh 3,584,736,742 za…
Soma Zaidi »SERIKALI ya Uganda imesema kuwa imewakamata watu watatu wanaohusishwa na shambulio dhidi ya Shule ya Sekondari Lhubiriha siku ya Ijumaa,…
Soma Zaidi »RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ametuma vikosi vya kijeshi Mashariki mwa taifa hilo, ambako imeripotiwa kundi linalodhaniwa kuwa ni Islamic…
Soma Zaidi »WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutoka Tanzania wametoa rai kwa wanasiasa na wananchi kutotumia kauli zinazotishia…
Soma Zaidi »UGANDA: RAIS Yoweri Museveni anatarajiwa kufanyiwa kipimo cha mwisho cha Covid-19 kesho ili kubaini kama amepona ugonjwa huo. Museveni, ambaye…
Soma Zaidi »









