Kimataifa

Namibia kutegemea kupata Rais mwanamke

NAMIBIA : NCHINI  Namibia wananchi wanajiandaa kupata rais wa kwanza mwanamke huku theluthi mbili ya kura za uchaguzi zikiendelea kuhesabiwa…

Soma Zaidi »

SUDAN: Tom Fletcher ataka hatua za haraka kukabiliana na mzozo

SUDAN : MKUU wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya kibinadamu Tom Fletcher ametoa wito kwa mashirika ya kimataifa kuchukua…

Soma Zaidi »

Ujerumani yaahidi dola milioni 680 kusaidia Ukraine

UKRAINE: KANSELA wa Ujerumani Olaf Scholz amefanya ziara ya kushtukiza nchini Ukraine ili kuthibitisha uungaji mkono wa Berlin kwa Kyiv…

Soma Zaidi »

ICC kujadili waranti wanazotoa

UHOLANZI : NCHI wanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, wamekutana katika mkutano wa 23 ambapo watachagua kamati mpya…

Soma Zaidi »

Watatu wamekufa kula kasa

UFILIPINO : WATU watatu wamefariki na wengine 32 wamelazwa hospitalini nchini Ufilipino baada ya kula kasa wa baharini. Maafisa wa…

Soma Zaidi »

Uzalishaji taka plastiki wasumbua dunia

KOREA KUSINI : MAZUNGUMZO ya wiki nzima kuhusu mkataba wa kihistoria wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na taka za plastiki…

Soma Zaidi »

Rais Biden kuimarisha mahusiano na Afrika

MAREKANI : RAIS wa Marekani, Joe Biden yuko nchini  Angola kwa ziara ya siku mbili yenye lengo la kukabiliana na…

Soma Zaidi »

Martha Karua kumtetea Besigye

KAMPALA : WAZIRI wa zamani wa sheria nchini Kenya Martha Karua, yuko nchini Uganda kuongoza timu ya mawakili wanaomtetea mwanaharakati…

Soma Zaidi »

BRICS kuwekewa vikwazo vya ushuru -Trump

MAREKANI : RAIS mteule wa Marekani Donald Trump ametishia kutoza ushuru kwa asilimia 100 kwa muungano wa mataifa tisa ya…

Soma Zaidi »

Rais Museveni, Ruto na Hassan wawasili Tanzania

Mkutano huu wa Wakuu wa Nchi za EAC umefuatiwa na tukio maalum la maadhimisho ya miaka 25 ya Jumuiya ya…

Soma Zaidi »
Back to top button