Kimataifa

NeST yaibuka mfumo bora zaidi wa ununuzi wa umma Afrika

MMFUMO wa Usimamizi wa Ununuzi wa Umma Kielektroniki (NeST) umeshinda tuzo ya “Mfumo Bora Zaidi wa Ununuzi wa Umma Barani…

Soma Zaidi »

Israel kukata rufaa dhidi ICC

ISRAEL: SERIKALI ya Israel imepanga kukata rufaa kupinga hati ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya kumkamata Waziri Mkuu Benjamin…

Soma Zaidi »

Sudan bado mtihani – Schulze

UJERUMANI : WAZIRI wa Maendeleo ya Uchumi wa Ujerumani, Svenja Schulze amezungumzia janga kubwa la kibinadamu nchini Sudan kufuatia ziara…

Soma Zaidi »

Botswana mthibitishaji madini ya almasi

ULAYA: KUJUMLISHWA kwa Botswana kama mthibitishaji kunaonekana kukusudiwa kuokoa mpango wa utekelezaji wa kusitisha kuagiza almasi Urusi baada ya mataifa…

Soma Zaidi »

Hezbollah yatangaza ushindi

LEBANON : KUNDI la Hezbollah limetangaza ushindi dhidi ya Israel baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano, likisema wapiganaji…

Soma Zaidi »

Israel kujadili azimio la Beirut

LEBANON: SERIKALI ya Israeli iko tayari kupitisha mpango wa Marekani wa kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah. Hivi sasa…

Soma Zaidi »

Wanawake Sudan njiapanda udhalilishaji kingono

SUDAN: MWAKILISHI wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya haki za binadamu,Tom Fletcher ameonyesha wasiwasi wake kuhusu vitendo vya  udhalilishaji…

Soma Zaidi »

Taliban yakamata waandishi 256

AFGHANISTAN: MWAKILISHI wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Roza Otunbayeva amesema Taliban imewakamata waandishi wa habari 256 tangu walipoingia…

Soma Zaidi »

Kampuni Kenya yakamilisha umiliki wa ISP Habari ya Arusha

NAIROBI: Kampuni ya utoaji huduma ya mtandao ya Kenya, Mawingu imeitwaa kampuni ya IPS Habari yenye makao makuu jijini Arusha…

Soma Zaidi »

Idadi waliohama makazi yaongezeka -IDMC

MAREKANI : IMEELEZWA kuwa Idadi ya wakazi waliohama makazi yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo uwepo wa mizozo, machafuko ya…

Soma Zaidi »
Back to top button