Kimataifa

EU ‘yastaajabu’ Mongolia kukataa kumkamata Putin

UMOJA wa Ulaya “umeshangazwa” na uamuzi wa Serikali ya Ulaanbaatar kushindwa kumkamata Rais wa Urusi Vladimir Putin ambaye amefanya ziara…

Soma Zaidi »

DRC kupatiwa chanjo ya Mpox

DRC CONGO : KITUO cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa CDC Kanda ya Afrika kimeanza kupeleka chanjo ya kwanza ya Mpox…

Soma Zaidi »

Watoto 307 wadhalilishwa Australia

BRISHANE : ASHLEY Griffith, mwenye umri wa miaka 46, amekiri makosa ya kubaka na kudhalilisha wasichana wadogo waliokuwa chini ya…

Soma Zaidi »

Dk Nchimbi akutana na Waziri Liu China

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzii, (CCM) Dk Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa idara ya Mambo…

Soma Zaidi »

Watu saba watafutwa ajali ya Bayesian

ITALIA : WAFANYAKAZI wa uokoaji wamepata miili 5 Jumatano ndani ya boti ya kifahari ya Bayesian, ambayo ilizama Jumatatu kwenye…

Soma Zaidi »

Wahamiaji haramu Ujerumani waongezeka

UJERUMANI : Shirikisho ya Kupambana na Uhalifu nchini Ujerumani, BKA, imesema idadi ya watu wanaoshukiwa kuhamia Ujerumani kinyume cha sheria…

Soma Zaidi »

Blinken na Hakan waamua kusitisha mapigano Gaza

UTURUKI : WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan na mwenzake wa Marekani, Antony Blinken wamejadiliana kuhusu juhudi…

Soma Zaidi »

Dola milioni 18.5 kudhibiti Mpox

ULAYA : SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Wahamiaji, IOM, limeomba msaada wa dola milioni 18.5 kwa ajili ya kutoa…

Soma Zaidi »

Afrika yaitathmini ICC kimya kimya

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) imetimiza miaka 22 tangu kuanzishwa kwake Julai 2002, huku kukiwa na maswali…

Soma Zaidi »

Idadi ya waliouawa Gaza sasa zaidi ya 40,000

IDADI ya wapalestina waliouawa kutokana na vita kati ya jeshi la Israel na kikundi cha Hamas cha Palestina katika Ukanda…

Soma Zaidi »
Back to top button