MAREKANI: Serikali ya Venezuela imeendelea kupata shinikizo la kimataifa la kuhalalisha ushindi wa Rais Nicholas Maduro ambaye hakushinda uchaguzi uliofanyika…
Soma Zaidi »Kimataifa
VENEZUELA: Rais wa Venezuela Nicolas Maduro amesisitiza kuwa chama chake kiko tayari kuwasilisha majumuisho yote ya kura kutokana na uchaguzi…
Soma Zaidi »ISRAEL: Maelfu ya watu wamejitokeza kwenye mazishi ya kiongozi wa kisiasa wa Hamas, Ismail Haniyeh, nchini Iran ambaye aliuawa katika…
Soma Zaidi »MAREKANI: Wanaume watatu wanaotuhumiwa kupanga mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 wamekubaliana na upande wa mashtaka kabla ya kesi…
Soma Zaidi »SUDAN: Mkuu wa Jeshi la Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amenusurika kufa katika jaribio la mauaji lililosababisha vifo vya watu…
Soma Zaidi »ANGOLA: MAWAZIRI wa Mambo ya Nje wa DRC Congo na Rwanda wamekubaliana kuanza mazungumzo ya kurejesha amani Mashariki mwa DRC …
Soma Zaidi »TEHRAN: Kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas la Palestina Ismail Haniyeh ameuwa katika mji mkuu wa Iran, Tehran, vyombo…
Soma Zaidi »UFARANSA: Saudi Arabia imeshawasilisha stakabadhi zake za kuonyesha nia ya kugombea kuandaa Kombe la Dunia la 2034 katika mji mkuu…
Soma Zaidi »UFARANSA: Rais wa Ufaransa,Emmanuel Macron amempigia simu Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian na kumuomba aache kuiunga mkono Urusi katika vita…
Soma Zaidi »VENEZUELA: Vikosi vya usalama nchini Venezuela vimerusha mabomu ya kutoa machozi na risasi za mpira dhidi ya raia walioamua kuandamaana…
Soma Zaidi »









