Gesi
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
-
Biteko ateta na Jumuiya ya Wasambazaji mitungi ya gesi nchini
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Jumuiya ya Kampuni zinazohusika na…
Soma Zaidi » -
Taasisi zaongezwa miezi 5 kupika kwa nishati safi
SERIKALI imeagiza taasisi zikiwemo shule zenye wanafunzi zaidi ya 100 ziache kutumia kuni na mkaa ifikapo Juni mwaka huu. Waziri…
Soma Zaidi » -
REA yaanza kusambaza mitungi ya gesi 13,020 Mkoani Songwe
SONGWE : WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), kwa kushirikiana na kampuni ya Oryx Gas Tanzania Limited, imeanza rasmi kusambaza mitungi…
Soma Zaidi » -
Algeria, Nigeria, Niger kusafirisha gesi asilia Ulaya
ALGERIA : MAAFISA kutoka nchi za Algeria, Nigeria na Niger wamesaini mikataba mipya inayolenga kuharakisha uendelezaji wa bomba kubwa la…
Soma Zaidi » -
Tanzania yakaribisha wawekezaji vituo vya kujaza gesi vijijini
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, amesema Tanzania inakaribisha uwekezaji kutoka Uingereza kwa ajili ya ujenzi…
Soma Zaidi » -
Ajenda ya nishati safi inavyoibeba Tanzania
JANUARI 27, mwaka huu macho ya mataifa yote ya Afrika yataelekea Tanzania wakati Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa…
Soma Zaidi » -
Zaidi ya mil 400 kusambaza mitungi ya gesi Dodoma
CHAMWINO, Dodoma: MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa cha sh 406,712,250 kwa Wakala…
Soma Zaidi » -
Matumizi kuni, mkaa taasisi za umma mwisho leo -Majaliwa
LINDI: WAZIRI Mkuu wa Nchi, Kassim Majaliwa Majaliwa amezikumbusha taasisi na mashirika yote ya Serikali yaliyopo kote nchini Tanzania ambayo …
Soma Zaidi » -
Tanzania mwenyeji mkutano hamasa nishati safi
LINDI: Waziri Mkuu, kassim majaliwa amesema Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa kimataifa kwa ajili ya uhamasishaji wa…
Soma Zaidi » -
Tanzania, Saudia Arabia kushirikiana nishati
NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika kuimarisha sekta ya nishati hususan katika…
Soma Zaidi »