Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wafanyabiashara marufuku kupandisha mafuta

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia James Mataragio leo amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala…

Soma Zaidi »

Serikali yaimarisha upatikanaji mafuta Malawi

DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi jirani ya…

Soma Zaidi »

IEA : Tudhibiti mgogoro wa nishati

MKUU wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA), Fatih Birol ametahadharisha kuwa mgogoro unaoendelea wa nishati Mashariki ya Kati unaweza…

Soma Zaidi »

Wizara, PURA waweka mikakati utafitaji mafuta, gesi asilia

Dar es Salaam: Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya mafuta na gesi asilia, Dk James Mataragio amekutana…

Soma Zaidi »

SADC yataka uratibu imara uwekezaji madini Afrika

DAR ES SALAAM: Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito wa kuimarishwa kwa uratibu kati ya serikali…

Soma Zaidi »

Madini nguzo muhimu ukuaji wa uchumi Tanzania

DAR ES SALAAM: Tanzania inaendelea kuiweka sekta ya madini kama nguzo muhimu ya kukuza uchumi wa viwanda na kuimarisha ushirikiano…

Soma Zaidi »

Dk Gwajima ataka wanawake kutumia nishati safi kupikia

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewataka wanawake kuwa mstari wa mbele kuhamasisha…

Soma Zaidi »

Madini ya vito yavutia fursa ya uwekezaji

SPINEL ni mojawapo ya madini ya vito yenye thamani kubwa duniani, inayojipatia umaarufu mkubwa kimataifa kutokana na ubora wake, rangi…

Soma Zaidi »

Serikali, Lifezone wajadili Mradi wa Kabanga

MSAJILI wa Hazina,Nehemiah Mchechu, amekutana na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, Keith Liddell, kujadili maendeleo ya…

Soma Zaidi »

‘Kutoka migodini hadi kupewa tuzo Kimataifa’

KATIKA sekta ya madini Tanzania, ambako mara nyingi wanawake wamekuwa upande wa pili wa historia. Leminatha Cornel Kabigumila amefungua mlango…

Soma Zaidi »
Back to top button