Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Burkina Faso yaja Tanzania kujifunza Sekta ya Madini

TANZANIA imeendelea kuimarisha na kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha maarifa na uzoefu katika usimamizi na uendeshaji wa Sekta ya…

Soma Zaidi »

Bukombe: Shughuli za uchimbaji zarejea Msasa

GEITA: SERIKALI imeruhusu shughuli za uchimbaji kuendelea katika mgodi wa Msasa wilayani Bukombe baada ya kubaini idadi kubwa ya wachimbaji…

Soma Zaidi »

Mambo yaiva uchimbaji visima 3 vya gesi asilia Mtwara

Mtwara: Maandalizi ya uchimbaji wa visima vitatu vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo mkoani Mtwara yamekamilika kwa…

Soma Zaidi »

Tanzania, Korea kushirikiana teknolojia ya madini

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiwa ni utekelezaji wa Madini Vision 2030, imewezesha kuanzishwa kwa mradi wa ujenzi…

Soma Zaidi »

Mavunde aonya maofisa madini wa mikoa

WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali haitasita kuwachukulia hatua kali maofi sa madini wakazi wa mikoa, ambao ofi si…

Soma Zaidi »

Serikali yaainisha mkakati kuendeleza wachimbaji wadogo

SERIKALI imeainisha mkakati mahsusi wa kuwaendeleza wachimbaji wadogo wa madini nchini, kwa kuweka kipaumbele katika utoaji wa leseni, upatikanaji wa…

Soma Zaidi »

Tathmini yaibua matumaini mapya gesi asilia

DAR ES SALAAM: Tathmini ya data za mitetemo za 3D zilizochukuliwa katika Kitalu cha Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia…

Soma Zaidi »

Mradi wa EACOP wazalisha zaidi ya ajira 10,000

DAR ES SALAAM: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka…

Soma Zaidi »

Mradi wa bomba la gesi waendelea – TPDC

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea na mchakato wa kutekeleza mradi wa Bomba la Gesi kutoka Kinyerezi kwenda…

Soma Zaidi »

Mavunde: Leseni za madini kwa vikundi, si mtu mmoja

SHINYANGA: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema leseni za uchimbaji madini hazitatolewa kwa mmoja mmoja, bali vijana wanapaswa kuunda vikundi…

Soma Zaidi »
Back to top button