Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali yaanza mpango kuondoa uchimbaji wa kubahatisha

DAR ES SALAAM: Serikali imeanza safari ya kuondoa uchimbaji wa kubahatisha nchini baada ya kuweka mfumo utakaowezesha asilimia 10 ya…

Soma Zaidi »

Tanzania ina gesi asilia futi za ujazo trilioni 57.54

MTWARA: MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imesema hadi sasa tanzania imeshagundua kiasi cha gesi asilia…

Soma Zaidi »

Maarifa yahitajika kuendeleza sekta ya madini

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amewataka wanafunzi kutumia maarifa, ujuzi na uzoefu ambapo ukitumika ipasavyo unaweza kuifanya…

Soma Zaidi »

Mradi wa uchorongaji visima gesi asilia Mtwara unavyonufaisha wazawa

MTWARA: Zaidi ya Watanzania 320 wameajiriwa katika nafasi mbalimbali  huku wengine wakinufaika kupitia zabuni zenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni…

Soma Zaidi »

Kituo cha mafuta Arusha kuongeza ajira

ARUSHA: UZINDUZI wa kituo kipya cha mafuta cha Orxy wilayani Karatu mkoani Arusha ni hatua muhimu ya kuongeza fursa za…

Soma Zaidi »

Njombe kugeuka kitovu kipya cha madini nchini

NJOMBE: MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji…

Soma Zaidi »

Serikali kujizatiti mazingira bora uwekezaji

DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira bora kwa wawekezaji katika usafirishaji, viwanda…

Soma Zaidi »

Fursa ‘zanukia’ maandalizi mnada vitalu vya gesi yakikamilika

LONDON, UINGEREZA: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni amesema maandalizi muhimu…

Soma Zaidi »

Mfumo wa PRIS kuzinduliwa kesho

Dar es Salaam – Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah amesema Kampuni hiyo inaunga mkono Mfumo…

Soma Zaidi »

Chevron: Tupo tayari kuwekeza Tanzania

London, Uingereza: Kampuni kubwa nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji…

Soma Zaidi »
Back to top button