Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali yaimarisha upatikanaji mafuta Malawi

DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi jirani ya…

Soma Zaidi »

IEA : Tudhibiti mgogoro wa nishati

MKUU wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA), Fatih Birol ametahadharisha kuwa mgogoro unaoendelea wa nishati Mashariki ya Kati unaweza…

Soma Zaidi »

Wizara, PURA waweka mikakati utafitaji mafuta, gesi asilia

Dar es Salaam: Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya mafuta na gesi asilia, Dk James Mataragio amekutana…

Soma Zaidi »

Dk Gwajima ataka wanawake kutumia nishati safi kupikia

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewataka wanawake kuwa mstari wa mbele kuhamasisha…

Soma Zaidi »

Madini ya vito yavutia fursa ya uwekezaji

SPINEL ni mojawapo ya madini ya vito yenye thamani kubwa duniani, inayojipatia umaarufu mkubwa kimataifa kutokana na ubora wake, rangi…

Soma Zaidi »

Serikali, Lifezone wajadili Mradi wa Kabanga

MSAJILI wa Hazina,Nehemiah Mchechu, amekutana na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, Keith Liddell, kujadili maendeleo ya…

Soma Zaidi »

‘Kutoka migodini hadi kupewa tuzo Kimataifa’

KATIKA sekta ya madini Tanzania, ambako mara nyingi wanawake wamekuwa upande wa pili wa historia. Leminatha Cornel Kabigumila amefungua mlango…

Soma Zaidi »

Tanzania kuitangaza ‘Tanzanite’ Qatar

SERIKALI imesema imeweka mkakati wa kutangaza madini ya tanzanite nchini Qatar ili kuongeza wigo wa masoko yake na kuvutia uwekezaji…

Soma Zaidi »

Mgodi wachangia bil 1.29/- serikalini miaka mitatu

MANYARA; MGODI wa Itracom Fertilizer Limited unaojihusisha na uchimbaji na uchakataji wa madini ya phosphate uliopo katika eneo la Vilima…

Soma Zaidi »

CRDB yaja na dhamana mbadala wachimbaji madini

SERIKALI kupitia Tume ya Madini, Benki ya CRDB na wachimbaji wadogo wamesaini mpango maalumu wa mikopo kwa wachimbaji wadogo wa…

Soma Zaidi »
Back to top button