Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mavunde aonya maofisa madini wa mikoa

WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema serikali haitasita kuwachukulia hatua kali maofi sa madini wakazi wa mikoa, ambao ofi si…

Soma Zaidi »

Serikali yaainisha mkakati kuendeleza wachimbaji wadogo

SERIKALI imeainisha mkakati mahsusi wa kuwaendeleza wachimbaji wadogo wa madini nchini, kwa kuweka kipaumbele katika utoaji wa leseni, upatikanaji wa…

Soma Zaidi »

Tathmini yaibua matumaini mapya gesi asilia

DAR ES SALAAM: Tathmini ya data za mitetemo za 3D zilizochukuliwa katika Kitalu cha Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia…

Soma Zaidi »

Mradi wa EACOP wazalisha zaidi ya ajira 10,000

DAR ES SALAAM: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka…

Soma Zaidi »

Mradi wa bomba la gesi waendelea – TPDC

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea na mchakato wa kutekeleza mradi wa Bomba la Gesi kutoka Kinyerezi kwenda…

Soma Zaidi »

Mavunde: Leseni za madini kwa vikundi, si mtu mmoja

SHINYANGA: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema leseni za uchimbaji madini hazitatolewa kwa mmoja mmoja, bali vijana wanapaswa kuunda vikundi…

Soma Zaidi »

Bei ya dhahabu yapaa, yavunja rekodi dola 4,400 kwa gramu

BEI ya dhahabu imepanda na kuvunja rekodi, ikiuza kwa zaidi ya dola 4,400 kwa gramu kwa mara ya kwanza katika…

Soma Zaidi »

Tume ya Madini, TRA kuongeza ufanisi ukusanyaji maduhuli

TUME ya Madini kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zimeimarisha ushirikiano wao kwa lengo la kuongeza ufanisi na…

Soma Zaidi »

Twiga Minerals Yaipa Tanzania Nuru Mpya ya Maendeleo

TANZANIA inaendelea kung’ara kimataifa kupitia sekta ya madini, huku Twiga Minerals Corporation yenye ubia kati ya Serikali ya Tanzania na…

Soma Zaidi »

Mazungumzo mabadiliko matumizi ya mafuta kwenda gesi

SERIKALI kupitia Wizara ya Nishati imesema imekuwa na mazungumzo na Wizara ya Fedha kupunguza gharama na kodi katika vifaa vinavyotumika…

Soma Zaidi »
Back to top button